Angalia hizi pipo.

h120

JF-Expert Member
Jan 10, 2012
2,530
3,315
Nimenyoosha mikono juu.

 
Last edited by a moderator:
hahahahahah mi nimecheka tu hayo mashauzi yao! kha! jamani hii dunia imeshakwisha!
 
hahahahahah mi nimecheka tu hayo mashauzi yao! kha! jamani hii dunia imeshakwisha!
Eti kwa raha zao!! M'Mungu atunusuru na vizazi vyetu!
Huo mwendo hata mabint hawajimwagi hivyo.
 
Wenyewe wanasema GAY-Good As You. Ila washikaj mnaokula vidumejike mna roho ngumu.
 
Dunia hii sasa ukipata mtoto wa kiume unaanza kua na wasi wasi!!
 
Hahahahahahahzhahshahahags huko nyuma marinda hayapo maskin,wanavyotembea ni balaa
Wanawaaibisha wanaume hawa
Lakin kwani ukiwa shoga lazima uwe na tabia za kike??mbona wengine hawana hizo tabia na ni mashoga hebu nipen tofaut hapo!!
 
Back
Top Bottom