101 East
JF-Expert Member
- Feb 25, 2015
- 1,040
- 2,119
Hivi ushawahi kuingia kwenye mgahawa ukaletewa chakula kwenye sahani iliyotoka kiwandani leo,au ushawahi kimuuliza mhudumu kwenye mgahawa ulioenda kula chakula eti wewe ni mtu wa ngapi kutumia hyo sahani na kijiko na kabla ya hapo wamepita watu wa ngapi kama hujawahi kufanya kw kusahau na hitaji la tumbo lako lenye njaa basi ndo the same na mapenzi we angalia unahitaji nini(chakula gani) na si kitaka kujua eti sahani iliyobebachakula ckako imetumiwa na watu wa ngapi maana kwa kufanya hivyo utajikuta unamaliza migahawa kwa kutaka sahani yako peke yako
Angalia hitaji lako sio matumizi ya wenzako kwenye hiko unachotaka kukitumia
Angalia hitaji lako sio matumizi ya wenzako kwenye hiko unachotaka kukitumia