Angalau Mji wa IRINGA nyumba zimekaa kimpangilio

Tumeona miji mingi kama Dar es Salaam jinsi nyumba zilivyosongamana bila mpangilio. Je umeona mpangilio wa mji huu wa IRINGA? Hebu uangalie.

IRINGA HIYO. Angalia maeneo mengine kwa ku-drag picha hiyo

Mkuu GM7 Kamwene Mnogage? nakusalimia Mtani wangu mimi ni Mzaramo bwana huwezi kufananisha Mji na Jiji, hivi vitu Viwili tofauti kabisa Mji wa iringa na jiji la Dares-Salaaam Tofauti hata kama kwako ni iringa kutakuwa kuzuri vipi hakuwezi kufikia Jiji la Dares-salaam ukae ukijuwaa Mtani wangu wa Kihehehe Kamwene.
 
Mkuu GM7 Kamwene Mnogage? nakusalimia Mtani wangu mimi ni Mzaramo bwana huwezi kufananisha Mji na Jiji, hivi vitu Viwili tofauti kabisa Mji wa iringa na jiji la Dares-Salaaam Tofauti hata kama kwako ni iringa kutakuwa kuzuri vipi hakuwezi kufikia Jiji la Dares-salaam ukae ukijuwaa Mtani wangu wa Kihehehe Kamwene.
Ndimnofu hela vahungilage mbevali huko ku Dar es Salaam.
Iwe mji au jiji lakini tunachoangalia zaidi ni mpangilio wa nyumba kama ulivyoona Iringa, Tatizo la Bongo Ukitoka mlangoni kwako unaingia ****** kwa jirani japo si maeneo yote.
 
Ndimnofu hela vahungilage mbevali huko ku Dar es Salaam.
Iwe mji au jiji lakini tunachoangalia zaidi ni mpangilio wa nyumba kama ulivyoona Iringa, Tatizo la Bongo Ukitoka mlangoni kwako unaingia ****** kwa jirani japo si maeneo yote.

Mkuu GM7 Kamwene mambo yamebadilika mkuu kila wakati mambo yanazidi kubadilika mkuu usifananishe Mjini iringa kasoro bahari na Jiji la Dares-Salaam mkuu umesoma mpaka Darasa la ngapi? jiji la Dar lina kila kitu cha Historia ya Nchi yetu tofauti na mjini iringa kwa Wahehe na Wabena Upo na mimi mkuu GM7?
 
Kumbe vanya kuIringa tuli vongefu ipa. Nde ni mnya kuIhimbo wilaya ya Kilolo, Neng'ino ndikuikala kuMbeya. Karibuni.

nyela va kuboma makasi?
inguluvi ye ng'wamisi yetu, twi vongefu muyawe
 
Nguluvi tange kwiringa, tuletele ndonya, na fibwa fyetu ufitangage vidutuvage mwe, nambi we fidodo hela be!
wewe miimi sikuelewi kabisa!
Bado unaombea vimmbwa viliwe na huku unajua kuwa kuna wizara ya vitoweo, halafu bado unakula walinzi. Ngoja tukuunganishe na watumia Makokoro ukamatwe.
Hey! Acha mara moja wezi wameongezeka!! usile walinzi kula samaki ng'ombe. siyo mbwa na nguruwe.
 
iringa kuna matukio ya zamani mengi sana na utalii pia kwa sana mf ruaha,kalenga,daraja la mungu,isimila,kilimo ndo usiseme fika Dabaga,hali ya hewa burdani nk
sema vipamumbele wanasahau sana mikoa kama hii ambayo tungeitangaza na vivutio vyake
dar huwezi sema kuna vivutio vya utalii basi watu waje,kwanza mmeshonana kama nini,mifoleni ya ajabu,miundo mbinu sifuri nk nk
 
aliyewafundisha waha wahehe kujenga nyumba zinazofanana ninani? au zilijengwa na shirika/selikali/national housing? manake kila nikiona nyumba karibia zote zina vidoti katikati/kuna uwa katikati....inaonekana vizuri sana kusema kweli...
..Usipoangalia kwa umakini utadhani ni vifaru vya jeshi vimepaki......Mwee!:bump:
 
Mkuu GM7 Kamwene mambo yamebadilika mkuu kila wakati mambo yanazidi kubadilika mkuu usifananishe Mjini iringa kasoro bahari na Jiji la Dares-Salaam mkuu umesoma mpaka Darasa la ngapi? jiji la Dar lina kila kitu cha Historia ya Nchi yetu tofauti na mjini iringa kwa Wahehe na Wabena Upo na mimi mkuu GM7?

mzizi mkavu, uwe unaelewa kinachoongelewa, tunachoongea hapa ni mpangilio wa mji, kwa mfano, ukiangalia hiyo picha ya mji wa iringa, jiji la Tanga na mji wa sumbawanga (just type hapo kwenye ramani yenyewe itakupeleka), utaona kuwa, miji ya iringa, Tanga na sumbawanga imepangwa vizuri sana sana, kiasi kwamba unaweza hata kuletewa barua home badala ya kupelekewa kwenye box yako posta....just angalia barabara zilivyopangwa vizuri kwenye jiji la Tanga, na hata hapo iringa...inaonyesha kabisa kuwa viongozi wa manispa wako makini kucontrol ujenzi usiwe holela....

ukija Dar, rafiki yangu, Dar hamna kitu, ukiwa na rafiki yako toka hata nchi ya jirani tu hapo, utaweza kumpeleka temeke, yombo, mbagala, buruguni, manzese etc....hata maeneo mazuri kama oysterbay, msasani, mbezi beach, masaki, mikocheni etc utakuta bado tu hawajapanga vizuri kabisa. sasa hii ni aibu, kwasababu tukitembelea nchi za wenzetu, tunaona kuwa wamepanga miji yao vizuri...miji yao misafi nk. sisi sote hata kama tunatoka mkoani, wote tunaishi apo apo Dar, LAKINI KUSEMA UKWELI, kila wakati nikishuka hapo Dar, uchafu huwa unaanza kunuka kuanzia airport hadi jiji zima na watu nchi zingine wamesema hadi wamechoka..ni PACHAFU, HALAFU NYUMBA KILA MTU ANAJENGA APENDAVYO.
 
Unajua kwa nini watu wanasema kwamba watani zangu wahehe wanakula mbwa. Kilichotokea ni kutokuelewana kati ya mzungu moja aliyemkuta mhehe anakula mboga mboga na kumwuuliza wewe unakula nini? Mhehe akajibu kwa usahihi kabisa kwamba anakula IDOGI. Mzungu akadhani amesema anakula DOG.
 
Back
Top Bottom