kalendi
JF-Expert Member
- Mar 17, 2012
- 1,327
- 521
Kwa bongo radio ni shida saaaana.
Chukua tune in radio lakn za kibongo hakuna tumia site zao kama ya rfa na clodsfm
Asante mkuu kwa maelekezo!
Kwa bongo radio ni shida saaaana.
Chukua tune in radio lakn za kibongo hakuna tumia site zao kama ya rfa na clodsfm
Pia kuna Greenify hii inabana app zisifanye kazi background mfano facebook kwahiyo charge inakaa mda mrefu.
Nayo inahitaji rooting????
Root simu yako instal GL to SD app hamisha app data to SD.Jaman msaada pliz.natumia huawei g510 tatizo simu imekua slow sana na nilichange storage kutoka internal to external.sasa pia Nikita kuapdate some applications naambiwa no enough storage capacity wakati extenal card INA zaidi ya 4gb!!nifanyj angalau kuongeza speed na izo update ziweze kufanyika vizuri
Root simu yako instal GL to SD app hamisha app data to SD.
Safi sana Wakuu, hivi hii Anti-Virus ya 360 inapokuwa On ulaji wake wa chaji ni mkubwa kama Watsup?
Search google kila model ina jinsi ya kuroot.Hizi cm za dotcom zitatuua MWAKA huh.sasa ebu nielekeze io application ya Ku root naifanyejefanye.samahan kma nakuboa na maswali yangu.
http://db.tt/Y285n33i
download tapatalk 2 here..
wakuu nahitaji application itakayoniwezesha kudownload lyrics za nyimbo mbalimbali.