Kwanza hujatuambia ni application inayohusiana na nini ili tukusaidie, maana application nyingine huwa ni lazima ziwe na access ya hivyo vitu na nyingine hazihitaji kabisa hata access moja, hayo ndio mambo ya MarshmallowWadau ninataka kudowload application kwa ajili ya simu yangu lakini kila nikianza ku dowload inauliza ya kuwa itakuwa in access picha,call na SD yangu.Imekaaje hii?