Chenge ndiye m/kiti wa kamati ya bajeti Bungeni. Leo ametoa pendekezo kuwa serikali isitishe kuajiri watumishi ili kupunguza matumizi ya serikali. Kimsingi nimeona ni kupotosha umma na kuonesha dhihaka kwa watz, wao wenyewe ndo wamebeba pesa zetu kwenye viroba na kupeleka Uswiss, kibaya zaidi amezidi kuhamasisha serkal kutoza kodi ya laini ya simu kwa sababu kamati yake ilibuni mbinu hiyo ya kuongeza kipato.
Jamani hv jamaa ana nn mbona anadharau sana wananchi? Simpendi km kapuya.
Jamani hv jamaa ana nn mbona anadharau sana wananchi? Simpendi km kapuya.