Andrew Chenge,Karamagi na wengineo,mkifikishwa mahakamani wekeni wazi kila kitu vikiweo na vimemo

Salary Slip

JF-Expert Member
Apr 3, 2012
47,013
144,371
Nawashauri msikubali kufa na tai shingono na badala yake wakiwafikisha mahakamani wekeni kila kitu wazi vikiwemo vimemo(kama mlipewa) vya kuwaagiza mfanye mliyoyafanya.

Na kwa mawaziri watakaoshitakiwa (kama kweli kuna atakaeshitakiwa) ombeni ruhusu ya mahakama ili ikiwezekana mtoe maelezo/nyaraka za vikao vya baraza la mawaziri in case mlitekeleza maamuzi ya baraza na si yenu binafsi.

Wabunge wa upinzani ikibidi muwasilishe hoja binafsi kutaka kinga ya raisi iondolewe na hoja nyingine za kutaka kashifa kubwa zote za nyuma kama vile RICHMOND, EPA, KAGODA, MEREMETA, KIVUKO KIBOVU,n.k zote zichunguzwe.

Ukitaka kusafisha nyumba husafishi sebuleni tu bali lazima usafishe nyumba nzima pamoja na vyumbani/chumbani tena mpaka kwenye uvungu wa kitanda.

Wanataka tumuunge mkono Raisi basi tumuunge kwa style hii pia na si kwa kusubiri kila kitu aanzishe yeye ndio tumuunge mkono.
 
Nawashauri msikubali kufa na tai shingono na badala yake wakiwafikisha mahakamani wekeni kila kitu wazi vikiwemo vimemo(kama mlipewa) vya kuwaagiza mfanye mliyoyafanya.

Na kwa mawaziri watakaoshitakiwa (kama kweli kuna atakaeshitakiwa) ombeni ruhusu ya mahakama ili inawezekana mtoe maelezo/nyaraka za vikao vya baraza la mawaziri in case mlitekeleza maamuzi ya baraza na si yenu binafsi.

Wabunge wa upinzani ikibidi pia muwasilishe hoja binafsi kutaka kinga ya raisi iondolewe na hoja nyingine za kutaka kashifa kubwa zote za nyuma kama vile RICHMOND, EPA, KAGODA, MEREMETA, KIVUKO KIBOVU,n.k zote zichunguzwe.

Ukitaka kusafisha nyumba husafishi sebuleni tu bali lazima usafishe na chumbani tena mpaka kwenye uvungu wa kitanda.

Wanataka tumuunge mkono Raisi basi tumuunge kwa style hii pia na si kwa kusubiri kila kitu aanzishe yeye ndio tumuunge mkono.
Kwanini msianze kufagia chadema kwa kumfukuza Lowassa na Sumaye?
 
Nawashauri msikubali kufa na tai shingono na badala yake wakiwafikisha mahakamani wekeni kila kitu wazi vikiwemo vimemo(kama mlipewa) vya kuwaagiza mfanye mliyoyafanya.

Na kwa mawaziri watakaoshitakiwa (kama kweli kuna atakaeshitakiwa) ombeni ruhusu ya mahakama ili ikiwezekana mtoe maelezo/nyaraka za vikao vya baraza la mawaziri in case mlitekeleza maamuzi ya baraza na si yenu binafsi.

Wabunge wa upinzani ikibidi muwasilishe hoja binafsi kutaka kinga ya raisi iondolewe na hoja nyingine za kutaka kashifa kubwa zote za nyuma kama vile RICHMOND, EPA, KAGODA, MEREMETA, KIVUKO KIBOVU,n.k zote zichunguzwe.

Ukitaka kusafisha nyumba husafishi sebuleni tu bali lazima usafishe nyumba nzima pamoja na vyumbani/chumbani tena mpaka kwenye uvungu wa kitanda.

Wanataka tumuunge mkono Raisi basi tumuunge kwa style hii pia na si kwa kusubiri kila kitu aanzishe yeye ndio tumuunge mkono.
Swali je ndiyo tumeenza kufukua makaburi
 
Kwanini msianze kufagia chadema kwa kumfukuza Lowassa na Sumaye?

Hivi chama kama kina watu wabovu kuna madhara gani kwa taifa? mbona mna miss point nyie watu! jee ni kukosa maarifa au ushabiki maandazi?

Hakuna mwenye habari hata kama huko ccm mtajaza majizi na majinga mradi wasiingie kwenye serikali ambayo ni ya Watanzania wote.

CCM hata muwe na wehu wanaocheza kiwanzesa kwenye mikutano yenu hiyo ni shauri yenu na ubozi wenu, sisitunazungumzia wale waliopo serikalini na kuiathiri nchi.

Kama mnataka kumuattack Lowassa au Sumaye subirini 2020 Chadema ikiingia madarakani na hao wakapewa vyeo museme maovu yao na watashughulikiwa tuu
 
Nawashauri msikubali kufa na tai shingono na badala yake wakiwafikisha mahakamani wekeni kila kitu wazi vikiwemo vimemo(kama mlipewa) vya kuwaagiza mfanye mliyoyafanya.

Na kwa mawaziri watakaoshitakiwa (kama kweli kuna atakaeshitakiwa) ombeni ruhusu ya mahakama ili ikiwezekana mtoe maelezo/nyaraka za vikao vya baraza la mawaziri in case mlitekeleza maamuzi ya baraza na si yenu binafsi.

Wabunge wa upinzani ikibidi muwasilishe hoja binafsi kutaka kinga ya raisi iondolewe na hoja nyingine za kutaka kashifa kubwa zote za nyuma kama vile RICHMOND, EPA, KAGODA, MEREMETA, KIVUKO KIBOVU,n.k zote zichunguzwe.

Ukitaka kusafisha nyumba husafishi sebuleni tu bali lazima usafishe nyumba nzima pamoja na vyumbani/chumbani tena mpaka kwenye uvungu wa kitanda.

Wanataka tumuunge mkono Raisi basi tumuunge kwa style hii pia na si kwa kusubiri kila kitu aanzishe yeye ndio tumuunge mkono.

Ndugu yangu kufanya hivyo tu hakutawasaidia chochote.Katika Criminal Law hakuna Excuse ya kusema nilitumwa au nilikuwa remoted na mtu.Wao "watanyea debe" kwa staili na kiwango kinachowastahili na sio kutegemea vimemo.Mkapa na JK katika sakata hili hawana status tofauti na Marehemu Kigoda.Wote ni "marehemu".

Unapokuwa na Katiba na Sheria zinazomkinga mtu kuwajibika kwa makosa aliyoyatenda huko nyuma(tena mtu huyo angali hai) tafsiri yake ni nini? Tafsiri ni kwamba mtu huyo ni marehemu tayari.Hayuko duniani.Ndiposa Katiba ikatoa busara hiyo kuwa huwezi kuiadhibu maiti.Na ndicho alichokisema Magu Jana.Umeelewa?
 
Nawashauri msikubali kufa na tai shingono na badala yake wakiwafikisha mahakamani wekeni kila kitu wazi vikiwemo vimemo(kama mlipewa) vya kuwaagiza mfanye mliyoyafanya.

Na kwa mawaziri watakaoshitakiwa (kama kweli kuna atakaeshitakiwa) ombeni ruhusu ya mahakama ili ikiwezekana mtoe maelezo/nyaraka za vikao vya baraza la mawaziri in case mlitekeleza maamuzi ya baraza na si yenu binafsi.

Wabunge wa upinzani ikibidi muwasilishe hoja binafsi kutaka kinga ya raisi iondolewe na hoja nyingine za kutaka kashifa kubwa zote za nyuma kama vile RICHMOND, EPA, KAGODA, MEREMETA, KIVUKO KIBOVU,n.k zote zichunguzwe.

Ukitaka kusafisha nyumba husafishi sebuleni tu bali lazima usafishe nyumba nzima pamoja na vyumbani/chumbani tena mpaka kwenye uvungu wa kitanda.

Wanataka tumuunge mkono Raisi basi tumuunge kwa style hii pia na si kwa kusubiri kila kitu aanzishe yeye ndio tumuunge mkono.

Ndugu yangu kufanya hivyo tu hakutawasaidia chochote.Katika Criminal Law hakuna Excuse ya kusema nilitumwa au nilikuwa remoted na mtu.Wao "watanyea debe" kwa staili na kiwango kinachowastahili na sio kutegemea vimemo.Mkapa na JK katika sakata hili hawana status tofauti na Marehemu Kigoda.Wote ni "marehemu".

Unapokuwa na Katiba na Sheria zinazomkinga mtu kuwajibika kwa makosa aliyoyatenda huko nyuma(tena mtu huyo angali hai) tafsiri yake ni nini? Tafsiri ni kwamba mtu huyo ni marehemu tayari.Hayuko duniani.Ndiposa Katiba ikatoa busara hiyo kuwa huwezi kuiadhibu maiti.Na ndicho alichokisema Magu Jana.Umeelewa?
 
Hivi chama kama kina watu wabovu kuna madhara gani kwa taifa? mbona mna miss point nyie watu! jee ni kukosa maarifa au ushabiki maandazi? Hakuna mwenye habari hata kama huko ccm mtajaza majizi na majinga mradi wasiingie kwenye serikali ambayo ni ya Watanzania wote. CCM hata muwe na wehu wanaocheza kiwanzesa kwenye mikutano yenu hiyo ni shauri yenu na ubozi wenu, sisitunazungumzia wale waliopo serikalini na kuiathiri nchi.
Kama mnataka kumuattack Lowassa au Sumaye subirini 2020 Chadema ikiingia madarakani na hao wakapewa vyeo museme maovu yao na watashughulikiwa tuu
Acha kutetea upuuzi, utazungumzaje ubovu na uzuri wa ccm bila kumtaja Lowasaa na Sumaye?

Watimueni ili sisi tusio na vyama tujue kweli Chadema ni brand new!
 
Kwa Style Hii Lowassa na Sumaye woooote in Jail. Na Lowassa ndo anaenda kufia huko. Hahahaaaaaaaaa.....!!! Wataisoma Namba
 
Ndugu yangu kufanya hivyo tu hakutawasaidia chochote.Katika Criminal Law hakuna Excuse ya kusema nilitumwa au nilikuwa remoted na mtu.Wao "watanyea debe" kwa staili na kiwango kinachowastahili na sio kutegemea vimemo.Mkapa na JK katika sakata hili hawana status tofauti na Marehemu Kigoda.Wote ni "marehemu".

Unapokuwa na Katiba na Sheria zinazomkinga mtu kuwajibika kwa makosa aliyoyatenda huko nyuma(tena mtu huyo angali hai) tafsiri yake ni nini? Tafsiri ni kwamba mtu huyo ni marehemu tayari.Hayuko duniani.Ndiposa Katiba ikatoa busara hiyo kuwa huwezi kuiadhibu maiti.Na ndicho alichokisema Magu Jana.Umeelewa?
Pamoja na yote hayo,ukweli lazima uwekwa wazi ili wananchi wajue ni kina nani wametufikasha hapa na kila mtu aone ujinga wa kuwa na hii kinga isiyo na maana.
 
Nawashauri msikubali kufa na tai shingono na badala yake wakiwafikisha mahakamani wekeni kila kitu wazi vikiwemo vimemo(kama mlipewa) vya kuwaagiza mfanye mliyoyafanya.

Na kwa mawaziri watakaoshitakiwa (kama kweli kuna atakaeshitakiwa) ombeni ruhusu ya mahakama ili ikiwezekana mtoe maelezo/nyaraka za vikao vya baraza la mawaziri in case mlitekeleza maamuzi ya baraza na si yenu binafsi.

Wabunge wa upinzani ikibidi muwasilishe hoja binafsi kutaka kinga ya raisi iondolewe na hoja nyingine za kutaka kashifa kubwa zote za nyuma kama vile RICHMOND, EPA, KAGODA, MEREMETA, KIVUKO KIBOVU,n.k zote zichunguzwe.

Ukitaka kusafisha nyumba husafishi sebuleni tu bali lazima usafishe nyumba nzima pamoja na vyumbani/chumbani tena mpaka kwenye uvungu wa kitanda.

Wanataka tumuunge mkono Raisi basi tumuunge kwa style hii pia na si kwa kusubiri kila kitu aanzishe yeye ndio tumuunge mkono.
Wakisoma andiko hili umoja wao unarejea kama awali.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom