Side buggati
JF-Expert Member
- Feb 8, 2015
- 219
- 175
Hivi kuna sheria ya kumshtak wazir mkuu kama hipo naombeni kifungu chake
Unataka akitoka ndio tuanze kujadili aliyoyafanya akiwa madarakani?Kelele za nini tulieni Magufuli Ndiyo ana mwaka moja Ikulu kila moja atabeba Msalaba wake
Pamoja na yote hayo,ukweli lazima uwekwa wazi ili wananchi wajue ni kina nani wametufikasha hapa na kila mtu aone ujinga wa kuwa na hii kinga isiyo na maana.
Ila tangu awamu ya tano ianze baada ya chuma kuingia jumba jeupe sijawahi tena kumsikia "akishauri" apelekwe mahakamani.Uzuri Lowassa hana kinga na alishwaambia mumpleke Mahakani ila mpaka leo mmeshindwa mmebaki kupiga sound tu.
Ndoto ya mwendawazimu, je huyo Lowasa na Sumaye wako vipi?Nawashauri msikubali kufa na tai shingono na badala yake wakiwafikisha mahakamani wekeni kila kitu wazi vikiwemo vimemo(kama mlipewa) vya kuwaagiza mfanye mliyoyafanya.
Na kwa mawaziri watakaoshitakiwa (kama kweli kuna atakaeshitakiwa) ombeni ruhusu ya mahakama ili ikiwezekana mtoe maelezo/nyaraka za vikao vya baraza la mawaziri in case mlitekeleza maamuzi ya baraza na si yenu binafsi.
Wabunge wa upinzani ikibidi muwasilishe hoja binafsi kutaka kinga ya raisi iondolewe na hoja nyingine za kutaka kashifa kubwa zote za nyuma kama vile RICHMOND, EPA, KAGODA, MEREMETA, KIVUKO KIBOVU,n.k zote zichunguzwe.
Ukitaka kusafisha nyumba husafishi sebuleni tu bali lazima usafishe nyumba nzima pamoja na vyumbani/chumbani tena mpaka kwenye uvungu wa kitanda.
Wanataka tumuunge mkono Raisi basi tumuunge kwa style hii pia na si kwa kusubiri kila kitu aanzishe yeye ndio tumuunge mkono.
Nawashauri msikubali kufa na tai shingono na badala yake wakiwafikisha mahakamani wekeni kila kitu wazi vikiwemo vimemo(kama mlipewa) vya kuwaagiza mfanye mliyoyafanya.
Na kwa mawaziri watakaoshitakiwa (kama kweli kuna atakaeshitakiwa) ombeni ruhusu ya mahakama ili ikiwezekana mtoe maelezo/nyaraka za vikao vya baraza la mawaziri in case mlitekeleza maamuzi ya baraza na si yenu binafsi.
Wabunge wa upinzani ikibidi muwasilishe hoja binafsi kutaka kinga ya raisi iondolewe na hoja nyingine za kutaka kashifa kubwa zote za nyuma kama vile RICHMOND, EPA, KAGODA, MEREMETA, KIVUKO KIBOVU,n.k zote zichunguzwe.
Ukitaka kusafisha nyumba husafishi sebuleni tu bali lazima usafishe nyumba nzima pamoja na vyumbani/chumbani tena mpaka kwenye uvungu wa kitanda.
Wanataka tumuunge mkono Raisi basi tumuunge kwa style hii pia na si kwa kusubiri kila kitu aanzishe yeye ndio tumuunge mkono.
Hayo majina hapo bila hata ya vimemo walipitisha huku wanakenua menoNawashauri msikubali kufa na tai shingono na badala yake wakiwafikisha mahakamani wekeni kila kitu wazi vikiwemo vimemo(kama mlipewa) vya kuwaagiza mfanye mliyoyafanya.
Na kwa mawaziri watakaoshitakiwa (kama kweli kuna atakaeshitakiwa) ombeni ruhusu ya mahakama ili ikiwezekana mtoe maelezo/nyaraka za vikao vya baraza la mawaziri in case mlitekeleza maamuzi ya baraza na si yenu binafsi.
Wabunge wa upinzani ikibidi muwasilishe hoja binafsi kutaka kinga ya raisi iondolewe na hoja nyingine za kutaka kashifa kubwa zote za nyuma kama vile RICHMOND, EPA, KAGODA, MEREMETA, KIVUKO KIBOVU,n.k zote zichunguzwe.
Ukitaka kusafisha nyumba husafishi sebuleni tu bali lazima usafishe nyumba nzima pamoja na vyumbani/chumbani tena mpaka kwenye uvungu wa kitanda.
Wanataka tumuunge mkono Raisi basi tumuunge kwa style hii pia na si kwa kusubiri kila kitu aanzishe yeye ndio tumuunge mkono.
Walivyopewa na Lowassa aisee it will be interesting!
Ndoto ya mwendawazimu, je huyo Lowasa na Sumaye wako vipi?
Sina hakika kama memo itakubaliwa kutumika kama ushahidiHayo majina hapo bila hata ya vimemo walipitisha huku wanakenua meno
Kwanini msianze kufagia chadema kwa kumfukuza Lowassa na Sumaye?
Nawashauri msikubali kufa na tai shingono na badala yake wakiwafikisha mahakamani wekeni kila kitu wazi vikiwemo vimemo(kama mlipewa) vya kuwaagiza mfanye mliyoyafanya.
Na kwa mawaziri watakaoshitakiwa (kama kweli kuna atakaeshitakiwa) ombeni ruhusu ya mahakama ili ikiwezekana mtoe maelezo/nyaraka za vikao vya baraza la mawaziri in case mlitekeleza maamuzi ya baraza na si yenu binafsi.
Wabunge wa upinzani ikibidi muwasilishe hoja binafsi kutaka kinga ya raisi iondolewe na hoja nyingine za kutaka kashifa kubwa zote za nyuma kama vile RICHMOND, EPA, KAGODA, MEREMETA, KIVUKO KIBOVU,n.k zote zichunguzwe.
Ukitaka kusafisha nyumba husafishi sebuleni tu bali lazima usafishe nyumba nzima pamoja na vyumbani/chumbani tena mpaka kwenye uvungu wa kitanda.
Wanataka tumuunge mkono Raisi basi tumuunge kwa style hii pia na si kwa kusubiri kila kitu aanzishe yeye ndio tumuunge mkono.
Kweli kabisa mkuu,siku zote huwa nampinga ngosha kwa kua wengine anawaonea na wengine anawa protect kama bashite aka paul makonda hapo ndo unaona hicho cheo kikubwa hakimfai na amejiondolea heshima.Nawashauri msikubali kufa na tai shingono na badala yake wakiwafikisha mahakamani wekeni kila kitu wazi vikiwemo vimemo(kama mlipewa) vya kuwaagiza mfanye mliyoyafanya.
Na kwa mawaziri watakaoshitakiwa (kama kweli kuna atakaeshitakiwa) ombeni ruhusu ya mahakama ili ikiwezekana mtoe maelezo/nyaraka za vikao vya baraza la mawaziri in case mlitekeleza maamuzi ya baraza na si yenu binafsi.
Wabunge wa upinzani ikibidi muwasilishe hoja binafsi kutaka kinga ya raisi iondolewe na hoja nyingine za kutaka kashifa kubwa zote za nyuma kama vile RICHMOND, EPA, KAGODA, MEREMETA, KIVUKO KIBOVU,n.k zote zichunguzwe.
Ukitaka kusafisha nyumba husafishi sebuleni tu bali lazima usafishe nyumba nzima pamoja na vyumbani/chumbani tena mpaka kwenye uvungu wa kitanda.
Wanataka tumuunge mkono Raisi basi tumuunge kwa style hii pia na si kwa kusubiri kila kitu aanzishe yeye ndio tumuunge mkono.