Bila bila
JF-Expert Member
- Dec 20, 2016
- 21,476
- 37,750
Anzisheni alianzishe. Magufuli mwenyewe kasema waitwe wahojiwe watoe ushirikiano. Kwa wengine si ingekuwa kamata weka ndani siku zisizohesabika? Mnamwita Lisu msaliti na ingekuwa jeshini angepigwa risasi, lakini huyu aliyeweka mkono kila mkataba aitwe, ahojiwe, atoe ushirikiano.