Pombe haramu
Senior Member
- Dec 19, 2017
- 151
- 238
Nipo kolomije kwa RC feki
Duh kweli babuMimi nipo DSM -Ukonga-Markaz mtaa wa Kwa Temba
=====
Kama unahisi unatafutwa na hutaki kujulikana taja mtaa wa uongo ambao hata haukai huo.Huo huo mtaa mtaa wa uongo utampata jirani yako wa uongo
Hapo maamuzi ni yake huenda ikawa wapo aliowalenga basi angewafuata tu huko pm.Aende pm ya kila mtu?
Sipendi zawadi mie...Dada angu niambie uko wapi nataka nikuletee zawadi!
Mume mie sijamboMke nakusalimiaa
Nakumis nisiwe cha uongoMume mie sijambo
unapenda nini jomoni?Sipendi zawadi mie...
Kummiss mume wa mtu ni tabia mbaya!Nakumis nisiwe cha uongo
Mume ???Kummiss mume wa mtu ni tabia mbaya!
Mkuu ina maana hujui kuwa ameoa??!Mume ???
My wife sakayo njoo
Ina maana hujui kuwa ameoa??!
punguza povu Lisu akirudi waliomshughulikia watapatikana cha msingi yeye na dereva wake watoe ushirikiano tu.Hao akina saa 8 na azory issue zao zinashughulikiwa.Kwa hiyo ukitujua unafaidika nini. Humu marufuku kujuana kawaambie waliokutuma kuwa hatuna mpango wa kujuana. Kamtafuteni aliyempiga lissu na azory, saaanane warudishwe.
Ovyo sana, tujuane ili iweje.
Mi mzima fundi wanguKwa mafundi wangu wakuu wawili ninaowakubali ile kimori hatari . Salam deeeemiiiiiiiiiii
Kumbe tunakaa kitaa kimoja.Niko songea wilaya ya ilala kata ya lushoto mtaa wa Zanzibar.
niko poa sana fundi mkuu, salamu kwa .....mwekunduMi mzima fundi wangu
Niletee appleNakumis nisiwe cha uongo
AbeeeeMume ???
My wife sakayo njoo