Mzito Kabwela
JF-Expert Member
- Nov 28, 2009
- 18,857
- 7,615
Kamanda Andengenye alikuwa Serious au alikuwa anamtania Dogo janja?
Kamanda Andengenye alikuwa Serious au alikuwa anamtania Dogo janja?
Kamanda Andengenye alikuwa Serious au alikuwa anamtania Dogo janja?
Hapo hakuna utani ni wajibu wa polisi au askari kumsalute mbunge wa bunge la jamhuli ya TZ.Hiyo ndiyo discipline ya jeshi lolote!!
Kamanda Andengenye alikuwa Serious au alikuwa anamtania Dogo janja?
Labda wanawake ndio wanaomlilia...Hatanii, jamaa huyo ana discipline ya ajabu. Uliza Morogoro alikotoka hadi leo wanamlilia.
Labda wanawake ndio wanaomlilia...
Kamanda Andengenye alikuwa Serious au alikuwa anamtania Dogo janja?
Acha kabisa mkuu...EEeeeeh :madgrin::madgrin::madgrin: Ni shupavu ktk kucharaza nini.......?:madgrin::confused2:
Andegenye ni kati ya ma-RPC ambao ningependa wafe halaka sana...huyu ndiyo alishiriki kuua vijana wetu hapa Arusha kwa amri ya shemeji yake kikwete(Said Mwema)...
hata kama ni mtoto wako lazima upige saluti hiyo ndio heshima ya jeshi duh!!
Kamanda Andengenye alikuwa Serious au alikuwa anamtania Dogo janja?