And They called His Name Sananda

Andrew Nyerere

JF-Expert Member
Nov 10, 2008
3,008
2,429
Kwa wale ambao wameiona ile posting niliyotuma kuhusu AIDS,labda watapenda kufahamu zaidi kuhusu Sananda. Hizi habari zinatoka katika Phoenix Archives.
 

Attachments

  • J002.pdf
    11.1 MB · Views: 392
Phoenix Archives is always off the chain mkuu. Thanks for sharing.

Funny I should see Judah Iscarioth.

Kuna kitabu walikuwa wanakizungumzia BBC leo, fiction, kina explore account ya maisha ya Yesu from Juda's perspective. Kwamba alikuwa anataka kumzuia Yesu kwa sababu Yesu alikuwa pretender and charlatan basically. Another version has Juda taking the path of damnation and cricifixion just as much by accepting the role of "betrayer of the Messiah" in order to fulfill prophecy.

I believe the name is "My Name Was Judas"

The Guardians review is at http://www.guardian.co.uk/books/2006/nov/18/featuresreviews.guardianreview27
 
Phoenix Archives is always off the chain mkuu. Thanks for sharing.

Funny I should see Judah Iscarioth.

Kuna kitabu walikuwa wanakizungumzia BBC leo, fiction, kina explore account ya maisha ya Yesu from Juda's perspective. Kwamba alikuwa anataka kumzuia Yesu kwa sababu Yesu alikuwa pretender and charlatan basically.

Shetani ndio baba wa uongo unategemea nini sasa?
 
Uongo wa uongo ni uongo au ukweli?

Usishangae, wengi wetu tumekuwa waoga kuzama na kuchambua imani zetu -- hasa pale tunapohisi zitaibua mambo ambayo ni trying kwa imani. St Augustine hakukosea kusema "If you don't believe (have faith), you won't understand"
 
Usishangae, wengi wetu tumekuwa waoga kuzama na kuchambua imani zetu -- hasa pale tunapohisi zitaibua mambo ambayo ni trying kwa imani. St Augustine hakukosea kusema "If you don't believe (have faith), you won't understand"

Kuna waumini fulani wana argue kwamba imani ni reason. Which I disagree with kwa sababu imani is taking things to be a certain way despite reason.

Sasa afadhali hata hawa wanaosema imani ni reason wanajaribu kutafuta some semblance of butchered association kati ya imani na reason.

Kuna wengine hao hata ukitaka ku reason into imani (kwa mtu asiyeamini dini kama mimi) wanakutisha kwa ignorance ya oversimplification a la "Shetani ndio baba wa uongo unategemea nini sasa"

Kama shetani ni baba wa uongo, na shetani kaumbwa na mungu, na kapewa uwezo wa kuwa baba wa uongo na mungu, in fact uwezo wa uongo kuwezekanika umeumbwa na mungu kabla ya shetani kuwapo, hapa baba wa uongo ni shetani au mungu?

Kama unaamini in this whole Zoroastrian charade of shetani/ mungu in any case.
 
Kwa wale ambao wameiona ile posting niliyotuma kuhusu AIDS,labda watapenda kufahamu zaidi kuhusu Sananda. Hizi habari zinatoka katika Phoenix Archives.

Niwe na haja ya kumfahamu kwa lipi hasa,he is the Anti-Christ,full stop!They also call him Maitreya.
 
Mada nyingine bwana, yaani hata hazieleweki zinaongea juu ya nini. No wonder huwa zinaishia kuwa na wachangiaji wawili tu wanaojibizana wenyewe--kama kinachotokea kwenye hii hapa.

Mada hazieleweki au wewe huzielewi?

Na kueleweka si msingi wa ujuzi, msingi wa ujuzi ni kufanya kutoeleweka kuwe kueleweka, kwa hiyo kama kuna kitu huelewi uliza ama ujibiwe ama uwafungue watu kuhusu kutoeleweka .

Na kueleweka kwa wengi sio proof ya uzuri wa mada. Wakija Stephen Hawkings na Roger Penrose kujadiliana kuhusu quantum pertubations and it's effects on the fabric of the specetime continuum yatakuwa ni mazungumzo ya watu wawili tu, si kwa sababu mada ni shallow, bali kwa sababu mada ni deep sana.

Likewise, ukileta story za udaku wa Shigongo zisizo kichwa wala mguu you may end up with half of the daily posters contributing, not because the topic is deep and tremendously relevant, but precisely the opposite.

Kusema mambo kijumla jumla kwamba mada haieleweki ni kilele cha kutoeleweka. Mada haieleweki kwa sababu gani? Hujajieleza. Unakandia kutoeleweka kwa kutupa kauli zisizoeleweka!

Kuna watu walikuwa hawajui kwamba kuna a school of theological thought inayomuona Yuda si kama msaliti, bali mtu aliyebeba msalaba kama kristo pia, msalaba wa kukubali usaliti ili unabii utimie.

Sasa kuna kitabu hapo, kuna link ya The Guardian book review. Kama hujaweza kusoma na ku criticize with details, usi criticize bila kusoma na nusunusu.

When you come come correct, or don't come at all.

Si lazima kuchangia mada vile vile kama unaona hazieleweki, kwa maana na wewe utaonekana hueleweki kuchangia kitu kisichoeleweka.
 
Sioni hoja ya kujenga hapa zaidi ya simulizi za kale zenye maslahi kwa watu fulani fulani,sijui hoja hii kama inasaidia ujenzi wa madarasa na umasikini wa watoto wa kitanzania au ndo dirisha la kupotezea muda.
 
Sioni hoja ya kujenga hapa zaidi ya simulizi za kale zenye maslahi kwa watu fulani fulani,sijui hoja hii kama inasaidia ujenzi wa madarasa na umasikini wa watoto wa kitanzania au ndo dirisha la kupotezea muda.

Wasioona hoja ya kujenga kikwelikweli wameiruka hii thread, hata hawajachangia.

Wewe kwa kuchangia tu, ushaipa relevance, ushaipa muda wako, ushaipa mawazo yako.

Ujenzi wa madarasa usingewezekana bila ya simulizi za kale, maana hata kabla ya maandishi, ujuzi wa ujenzi ulipitishwa kwa simulizi za kale, kizazi kwa kizazi, ma griot walihifadhi habari za falme, wahunzi walifundisha wana wao kazi na kadhalika.

Tatizo si kwamba simulizi ni za kale au mpya, kwa maana hamna kipya duniani, unachoona "simulizi za kale" kinaendelea mpaka leo, na kama ushakiri ni za "maslahi ya watu fulani" basi haziwezi kuwa za kale hivyo. Badala ya kuyaanika hayo maslahi ueleweke, unakimbia.

Umaskini wa watoto wa Kitanzania unaweza kuwa unaendana na tabia ya Kitanzania ya kuogopa authority.

Tabia ya Kitanzania ya kuogopa authority inachanua sana kwa mbolea ya dini.

Thread hii inatoa nafasi ya kuanika hili, na kwa wewe kukataa kuchangia kuonyesha hayo, umechangia moja kwa moja kuendeleza umaskini wa Tanzania, japo kwa kiasi kidogo.

Maneno yanaumba, na usidharau thread kwa sababu haijajikita moja kwa moja katika ujenzi wa barabara.

Kwani ujenzi wa barabara huanza kichwani na kwa kubadilishana mawazo kama katika thread hii.

Sema jingine, uliyosema juu yameonekana kukosa uzito.
 
@Kiranga Umesoma article nzima kama ilivyobandikwa hapo juu, au unarukia tu?

For starters, mind explaining just how "Phoenix Archives" is "always off the chain" as per your claim?
 
Umesoma article nzima kama ilivyobandikwa hapo juu, au unarukia tu?

For starters, mind explaining just how "Phoenix Archives" is "always off the chain" as per your claim?

Phoenix Archives is off the chain in the sense that it doesn't have to follow any logic or reason, it can take on any esoteric tangent like some Asimovian ruse that gets you to believe there is a numeric relationship between the books of the bible and the spherical bodies of the solar system. Or that Kennedy was assassinated by some Androids who feared his space expansionist agenda, and they are currently working in some secret North Korean bunkers, actually Ban Ki Moon and the Bushes are some of these powerful Androids.

It is a non-conformist, non-mainstream, illogical/ counterintuitive, esoteric, bordeline hallucinogenic with extra psychedellic pyrotechnics publication that just maintains itself on the brink of totally dismissal because if you are following shyt you will have talked with some professor of history of religion in the last year who would have validated the core of it's main stories. The Guardian book review I posted and a conversation with a professor of the history of Christianity I recently had populate my anecdotal reinforcements to this effect.

It's a crazy publication that would rhyme with a Salman Rushdie tongue in cheek defense of the devil, only not tongue in cheek, or give you a totally different and sympathetic Jesus' account of Judas Iscariot, that would remind you of that conversation you had with a professor of religion history and that BBC broadcast about that new book that is talking about the same thing..

Throughout history, progress is punctuated by the ability to test new hypotheses and ideas, however crazy they are. And I find the quirky takes of this publication, one that would give some ideas of linking quinine and dark matter out of nowhere, refreshingly mundane if not exactly credible.

For those of us who hardly read fiction, this could prove a good substitute, even as some of us lost that whole mysticism appeal with our Geocities passwords in 1999.
 
Mada nyingine bwana,
yaani hata hazieleweki zinaongea juu ya nini. No wonder huwa zinaishia
kuwa na wachangiaji wawili tu wanaojibizana wenyewe--kama kinachotokea
kwenye hii hapa.

Hii mada ni ya mafilosopher kama una elimu ya kata utii mguu
 
Sioni hoja ya kujenga hapa
zaidi ya simulizi za kale zenye maslahi kwa watu fulani fulani,sijui
hoja hii kama inasaidia ujenzi wa madarasa na umasikini wa watoto wa
kitanzania au ndo dirisha la kupotezea muda.

kweli walitakiwa kusema CDM itachukua nchi 2015
 
1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom