mtaa umetulea
JF-Expert Member
- Nov 17, 2020
- 1,719
- 2,164
Pole mwamba aisee
Kichwa chako kimejaa udongoKwahiyo mkuu, dada yako kupigwa mimba/kuzalishwa, kwako wewe kama mwanaume wa familia unaona ni sahihi!!! Most of them waswahili/wazazi/makaka hawako serious kwa mabinti zao.
Kanapatikana wapi jamani hako kadislikeKwanza nianze na kukupa makavu katika ID zenye tabia mbaya Ni yako hii unapenda sana kutoa dislike hata kwa comment isiyokirihisha mi nilikuwa sikajui hako kakitufe mpk siku moja uliponipa,na Mimi nimekupa hatimaye,,
Inaonekana mapito yako yanakufanya utupe dislike ovyoovyo tu,,( kananiboa hako kaemoji kananiogopesha sikapendi kabisaa kapo kama kashetani, jf wakatoe jamani wengine sie Ni waoga balaa)
Tukirudi kwenye mada yako, nakupa pole na pongezi ya kumlea ndugu yako, mtafute mtu aliye kwenye dawati la ustawi wa jamii, akusaidie kuwabana baba wa hao watoto wawajibike katika malezi ili kukupunguzia mzigo,, vilevile mtafutia mdogo wako biashara ya kufanya walaua aingize chochote kitu wakati huohuo umpeleke hospital aanze uzazi wa mpango kama mbishi mzunguke aanze kutumia uzazi wa mpango tafuta nesi amzuge kaugonjwa ili amchome sindano ya uzazi mchezo unaishia hapo
Kama unatumia app huwezi kukaona, tumia browser halafu press and hold mahala pa thanks zitatokea emoji tofauti tofauti utakaona ka dislike mwishoni 😂😂aise alinipa bhana aliniudhi sana alinivurugia mudi kabisa, nikasoma ile comment wala sikuona ubaya wake, nikapitia na wengine nikaona nao kawapa nikajua atakuwa na msongo wa mawazo huyu dogo, na akija hapa atatembeza vidislike vyake, nitakachofanya Ni kumlamba ignore,Kanapatikana wapi jamani hako kadislike
Itakuja pundeSijaona sehemu yenye namba ya Mpesa.
UmekaonaKanapatikana wapi jamani hako kadislike
Ndugu humu kuna wavuta bangi na mateja kwahiyo nikuwavumilia tu, hajui mpaka mwenzake kufikia kuweka hadharani hivi ameumia kiasi gani. Lakini Kwa kuwa yeye Yuko Kwa shemeji na ameshamaliza kukatia ng'ombe majani anaona Maisha kayamaliza.Kuwa makini basi hata kidogo kaka, yani kijana mwenzio anahitaji msaada na wewe unaamua kuuliza swali kama hili?