Amen Amen DearThank you my dear
Nimejifunza sana
Mungu anisaidie nisipite njia hiyo watoto ntawaumiza wakati hawana hatia
It,s more like psychological torture and trauma
Hata mi nimesema sikusoma. Walioielewa hii simulizi wanifafanulie zaidiKweli wewe hujasoma,
Mkuu hapa Umeandika nini sasa?
Umevunjwa vidole?
Ndio maana kuna juhudi kubwa sana kuzuia ushoga mkuuKuwa makini basi hata kidogo kaka, yani kijana mwenzio anahitaji msaada na wewe unaamua kuuliza swali kama hili?
ndio shida za vijana siku hizi, wakati mwingine labda hawahitaji misaada halisi wanataka michango labdaaise acha nami nikulalamikie kidg...! Unakumbuka nilikuunganishia kazi Mwanza mwaka juzi eh? Nikampa jamaa namba zako tunakupgia hupokei..! Binafsi nilishangaa na jamaa mie nilikua namjua ana roho ya huruma mno mno...kwanza suala la mshahara hata ungeshangaa hela anayokupa ungemsaidia sana sister ako..! Kwanza hakua na kazi alikua anTaka kijana tu wa kulinda jumba lake akiwa kazini..so ww ungepata fursa tena na tena za kufanya chichote as side hustle..anywys tuyaache haya
Namba 2 pole sana son....! Wewe ndo baba kwa hao wajomba! Mpe moyo dada kila uwezapo...
3.nitumie namba yake pm ila utamuambia wewe unitambulishe!
pole sana aisee!
Ninakubaliana na wazo lako mkuu.Kwa sasa anaishi maziningira gani mdogo wako, unadhani kama angepaikana msamaria asaidiwe kitu gani ili atokane na hali alionayo ?
Pole sana Kaka binafsi nimeguswa mno maana nayajua maisha ya kuishi Kama chokoraa huna wazaz Wala walezi ukiwa binti mdogo kwakweli simlaumu kupata mimba hizo ni matatizo mazito mnoNi mdogo wangu wa kike, anayoyapitia yananiumiza mimi kama kaka yake. Najiona mwenye hatia ndani ya nafsi.
Wazazi wetu walifariki na kutuacha tukiwa wawili, tukiwa wadogo.
Mimi kama kaka niliingia mtaani na nikaishi mtaani kama chokolaa, nilishuhudia na kujionea ni namna gani wanadamu walivyo watu wa hovyo.
Kunyanyaswa, kuonekana mbwa mbele za watu ilikuwa kawaida kwangu mpaka nikaizoea hiyo hali.
Nimeishi kama mtoto wa mtaani mpaka nimekuwa kijana. Nimeyaona mengi huko.
Nikirudi kwa mdogo wangu wa pekee, alipewa mimba akiwa na miaka chini ya 16, mimi binafsi simlaumu kwa kupewa mimba, angejuaje hayo mambo kuwa yana madhara mbeleni? Alikuwa bado mdogo.
Kwakuwa mdogo wangu alikua hasomi, kupewa kwake mimba haikuwa jambo la kushangaza wala kushtua watu, ukizingatia hakuna mzazi wala mlezi aliyepo.
Alilea mimba na akajifungua katoto, kasichana, nikapewa nafasi ya kumchagulia jina, nikasema aitwe 'Furaha' .
Akapewa tena mimba, naamini ni katika kujaribu kujitafutia nahitaji yake na mwanae, alipewa mimba tena.
Afanyeje sasa? Msaada ninaoutoa kwake ni kama tone ndani ya bahari, si chochote, haisaidii. Na sasa naona magumu zaidi yamemfika.
Mara kadhaa hunipigia simu huku akilia na kusema maneno ambayo binafsi yananiumiza sana, ananiambia mpaka mambo ambayo kwakweli naamini hakupaswa kuniambia, lakini amwambie nani sasa? Mimi ndiye ndugu yake.
Anayopitia siyo sawa na umri wake, hii hali inaniumiza sana mimi kama kaka yake. Nazikumbuka sana nyakati nzuri tukiwa na wazazi wetu.
Mimi binafsi nimejifunza mengi katika kuishi, nimepata changamoto nyingi hata sasa nazikabili.
Ila changamoto anazopata mdogo wangu ni kubwa Mara dufu, ana watoto, hana mzazi wala mlezi, anawatunza vipi watoto?
Haya maisha ni hovyo.
Nilimchukia balaa...anywys tulisameheanandio shida za vijana siku hizi, wakati mwingine labda hawahitaji misaada halisi wanataka michango labda
Yuko mkoa...bora umpe kazi aise aondoke alipoKama mko dar njoo pm nimpe kazi imsaidie kupata kipato cha kulea kdg wanae
12?oh no!...dah...aiseWengi tumepitia maisha hayo machozi yamejaa kwenye vifua vyetu na hatukua na pa kuegemea dah nakumbuka mbali Sana nilipoanza kujitegemea nikiwa na miaka 12 ndani ya jiji la dar lakini mpka sasa nimesonga ni maisha ambayo watoto wengi wa kimasikini tunapitia kwa sababu unabeba majukumu ukiwa na umri mdogo kikubwa ni kupambana tu Mungu atakusimamia
Anayopitia siyo sawa na umri wake, hii hali inaniumiza sana mimi kama kaka yake. Nazikumbuka sana nyakati nzuri tukiwa na wazazi wetu.
Siku njema zijapopita usihuzunike bali ufurahi kwakuwa zilikuwako!
Mungu atampigania
Siku njema zijapopita usihuzunike bali ufurahi kwa kuwa zilikuwako.
Maisha ni safari. Tutafika tu.Wengi tumepitia maisha hayo machozi yamejaa kwenye vifua vyetu na hatukua na pa kuegemea dah nakumbuka mbali Sana nilipoanza kujitegemea nikiwa na miaka 12 ndani ya jiji la dar lakini mpka sasa nimesonga ni maisha ambayo watoto wengi wa kimasikini tunapitia kwa sababu unabeba majukumu ukiwa na umri mdogo kikubwa ni kupambana tu Mungu atakusimamia