Njoo pmWapendwa mimi ni dada ninayeishi na virus vya UKIMWI na ninapenda kufanya kazi na taasisi zinazohusiana na mambo ya UKIMWI, nawaomba sana mtu yoyote anayezijua hizi taasisi aniunganishe nina elimu ya chuo nimesomea sociology.
Naomba msaada wenu
Asante sanaGood and well ...kwa kukusaidia tu nenda Hospital yeyote kubwa apa Inchini( Haswa za serikal) Ongea na incharge vizur kabisa kwa kujitolea kufanya kazi na watu wa CTC katika idara ya Cancelling...kiufupi connection za NGO's utazipata uko .. easy Sana....all the best Mdada..