Guselya Ngwandu
Member
- Sep 17, 2021
- 39
- 84
Mitandaoni hususan Twitter, kuna kelele nyingi zinazoitwa 'madai ya Katiba Mpya'
Ukitazama vizuri utagundua kwamba huo ni mradi wa watu. Yes, kuna mahali wanapata fedha kupiga hizi kelele zionekane ni madai ya walio wengi.
Nenda katazame mtindo wao wa kupost. Kuna siku wanaamka na caption moja, hasa inapokuwa ya Kingereza. Caption hiyo moja inatumiwa na account nyingi sana jambo linalooonesga hiyo movement sio 'organic', sio madai halisi ya wengi. KINA MARIA SARUNGI WANAFURAHISHA WAFADHILI WAO.
Lakini pia, unakuta mtu mmoja anatumia hiyo hashtag kwa wingi usio wa kawaida kwenye post moja. Wanalazimisha iwepo hata pasipo stahili. LENGO NI KUPIKA KWAMBA HAYO NI MADAI YA WENGI ili wakapate mtonyo huko kwa mabwenyenye wao.
Najiuliza tena, kwa kuwa hili suala la Katiba Mpya halitatimia muda wowote soon (LABA AWAMU YA PILI YA URAIS WA SAMIA KAMA ATAAMUA KUANZISHA MCHAKATO): Anayewalipa kupiga kelele hizi ambazo zimeshapoteza mvuto atawalipa hadi lini?
Ukitazama vizuri utagundua kwamba huo ni mradi wa watu. Yes, kuna mahali wanapata fedha kupiga hizi kelele zionekane ni madai ya walio wengi.
Nenda katazame mtindo wao wa kupost. Kuna siku wanaamka na caption moja, hasa inapokuwa ya Kingereza. Caption hiyo moja inatumiwa na account nyingi sana jambo linalooonesga hiyo movement sio 'organic', sio madai halisi ya wengi. KINA MARIA SARUNGI WANAFURAHISHA WAFADHILI WAO.
Lakini pia, unakuta mtu mmoja anatumia hiyo hashtag kwa wingi usio wa kawaida kwenye post moja. Wanalazimisha iwepo hata pasipo stahili. LENGO NI KUPIKA KWAMBA HAYO NI MADAI YA WENGI ili wakapate mtonyo huko kwa mabwenyenye wao.
Najiuliza tena, kwa kuwa hili suala la Katiba Mpya halitatimia muda wowote soon (LABA AWAMU YA PILI YA URAIS WA SAMIA KAMA ATAAMUA KUANZISHA MCHAKATO): Anayewalipa kupiga kelele hizi ambazo zimeshapoteza mvuto atawalipa hadi lini?