Anayewajua vizuri Radar Recruitment

Brigadia

Member
Nov 8, 2016
44
17
Hivi hawa wanaojiita Radar Recruitment huwa wanaajiri kweli? Nilienda ofisini kwao mikocheni kuwapelekea CV wakasema hawapokei CV mkononi. Wakasema niweke online, nikaenda nikaweka na kujisajiri kabisa. Nikaanza kuwa naaply kazi zao wanazotangaza, nimeaply zaidi ya kazi 100 lakini sijabahatika kuitwa enterview hata moja.
Link yao hii hapa Radar Recruitment, one of East Africa's leading recruitment agencies: Home
Anayewajua vizuri au ambaye alishawahi kupata kazi kupitia wao naomba anisaidie kwa ufafanuzi kidogo hawa jamaa wakoje na wanahitaji nini hasa.
Je ni recruitment agency ipi iko efficient zaidi maana nyingi naona kama ni za wababaishaji.
 
recruitement ya watu wa aina gani wenye profesional gani sasa?ma dereva wa malori,saloon cars,crane operators,etc kama hawaja advertise hivyo ujue ni wezi tu hao.
 
Wanauza kazi hapo. Radar ya mwanzo ilikiwa nzuri wengi walioondoka radar wakaanzisha kampuni inaitwa Empower wako msasani lutheran opp ccbrt hao ni wazuri. Lakini radar wana ubaguzi sana haswa kwa waliosoma nje ya nchi na mambo ya kujuana sana hapo usisumbuke nao
 
Wanauza kazi hapo. Radar ya mwanzo ilikiwa nzuri wengi walioondoka radar wakaanzisha kampuni inaitwa Empower wako msasani lutheran opp ccbrt hao ni wazuri. Lakini radar wana ubaguzi sana haswa kwa waliosoma nje ya nchi na mambo ya kujuana sana hapo usisumbuke nao
Asante sana mkuu. Ndo maana nimehangaika nao bila mafanikio. Empower wapo msasani maeneo gani?
 
Hapo Lutheran wamejenga jengo LA ghorofa linatazamana na ccbrt fika pale uliza na pia unaweza uka register free online www.empower.co.tz ujiandae na elfu kumi ya kumaintain database yao. Wakikuita ila hawana longolongo.

Radar zamani walikuwa wa ukweli ukiomba kazi kama statoil au heineken unajibiwa nenda radar lakini utakavyonyanyaswa na wale wahindi pale radar kumbe mwisho wa siku walikuwa wanuza kazi. Angalia wafanyakazi wengi waliokuwa radar utakuta ni former academic, DIS , learn IT , small kenyan colleges yaani ni watu aina fulani hivi na ndio wanaunganishiwa wanakuwa ma HR consultant wa kampuni kubwa kama FNB
 
Wanauza kazi hapo. Radar ya mwanzo ilikiwa nzuri wengi walioondoka radar wakaanzisha kampuni inaitwa Empower wako msasani lutheran opp ccbrt hao ni wazuri. Lakini radar wana ubaguzi sana haswa kwa waliosoma nje ya nchi na mambo ya kujuana sana hapo usisumbuke nao
Hao empower wameacha kale katabia ka kutoza tsh 10000 ya registration??? Naona kama na wao ni chenga tu maana kuna jamaa angu aliomba junior position kaitwa kene interview senior position alipowaulizi vipi akaambiwa ni kweli hii nafasi haukuhusu alilipa tshs 10000 kama registration fees et ikitokea nafasi anayofit watamuita, mpaka leo kimyaaa buku ten wamekulaa, angalizo tu msitoe pesa jamaniii, ilinichukua miaka 2 kuanza kuitwa na radar na hiyo ni baada ya cv yangu na profile yangu kene portal yao kuonesha tayar nina experience ya miaka 2, ila kwa sasa pia naona kama wameishiwa kimtindoo.
 
Hapo Lutheran wamejenga jengo LA ghorofa linatazamana na ccbrt fika pale uliza na pia unaweza uka register free online www.empower.co.tz ujiandae na elfu kumi ya kumaintain database yao. Wakikuita ila hawana longolongo.

Radar zamani walikuwa wa ukweli ukiomba kazi kama statoil au heineken unajibiwa nenda radar lakini utakavyonyanyaswa na wale wahindi pale radar kumbe mwisho wa siku walikuwa wanuza kazi. Angalia wafanyakazi wengi waliokuwa radar utakuta ni former academic, DIS , learn IT , small kenyan colleges yaani ni watu aina fulani hivi na ndio wanaunganishiwa wanakuwa ma HR consultant wa kampuni kubwa kama FNB
Asante mkuu. Nitatembelea office za empower
 
Empower are the best, register online...apply kaz utaitwa...wapo Msasani Hall floor ya 4 opp na CCBRT...so professional.
Hivi mkuu empower wanapokea CV mkononi? Maana naona nafanya registration inagoma. Wanasema wanatuma activation link lakini haiji. Nimejaribu kwa email mbili tofauti lakini wapi.
 
Nilifanya nao interview flani ivi kwa njia ya simu! wiki3 zilizopita, kwa upande wangu naona wako poa tu... ukiwa na qualifications wanazotaka.
 
Nilifanya nao interview flani ivi kwa njia ya simu! wiki3 zilizopita, kwa upande wangu naona wako poa tu... ukiwa na qualifications wanazotaka.
Interview kwa njia ya simu ndo ilikuaje mkuu naomba unieleweshe samahani lakini mkuu!
 
Rada niwahuni tu mkuu watakupotezea mda tu wewe nenda kwenye office za kampuni unazozifahamu waachie CV watakuita tu
 
1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom