Anayetoa fedha za miradi ni Serikali kupitiabajeti iliyopitishwa na Bunge au Rais?

Lord OSAGYEFO

JF-Expert Member
Feb 19, 2021
3,086
4,879
Wadau najua kuwa Miradi yote ya Serikali Fedha zake hupitishwa na Bunge baada ya Wizara husika kuomba na kutengewa Bajeti.

Unapofika Muda wa Utekelezaji Fedha hutolewa na Wizara husika kama Bunge lilivyopitisha.
Kinachonishangaza ni hii AWAMU ya 5.

Sijawahi kusikia Kuwa SERIKALI imetoa Fedha kwa Ajili ya MRADI FULANI Badala yake Nasikia RAIS AMETOA FEDHA kwanini Isiwe SERIKALI?

Mbona Awamu Zilizopita Haikuwa hivyo au Fedha ni za RAIS na sio za SERIKALI?
 
Inaelekea hukuelewa vizuri lile somo la mhimili uliojichimbia chini kuliko mingine, ukiendelea kuufukua huo mhimili utakutana na Rais mwenyewe
 
Inategemea, labda niku-swalike wewe, anayetembeza bakuli la kuombea misaada kwa nchi matajiri ni Raisi au Samia?
 
Nadhani Sheria zilibadilishwa na Bunge kuanzia awamu ya 5, we kawa kila mradi unaoanzishwa Raisi ndiyo anatoa pesa.
 
1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom