Barbarosa
JF-Expert Member
- Apr 16, 2015
- 22,584
- 27,786
Mwanamke huwa haendi mbali, mara nyingi kama akichepuka basi huyo msela unamjua, na siajabu umeshawahi kumkaribisha nyumbani kwenu hata kinywaji ukamkaribisha, ni mara chache Mwanamke anatoka na mtu asiyemjua kwa maana kwa Saikolojia ya Mwanamke trust ni muhimu klk vyote, hivyo siku ukihisi/ukijua Mke/Demu wako anagongwa na Msela mahali usiumize kichwa muache tu aende kwa maana mara nyingi ameshamzimikia jamaa na wewe umeshamtoka moyoni na hakuna kitu utafanya jamaa ataendelea kugonga tu, hiyo ndiyo siri kubwa ya Wanawake na ni karibia wote!
Take home message!
Ukiwa na Mahusiano na Mwanamke ikitokea ukachepuka fanya kila jitihada asijue wala kuhisi kama kweli unampenda, kwa maana akijua revenge yake utalia!
Take home message!
Ukiwa na Mahusiano na Mwanamke ikitokea ukachepuka fanya kila jitihada asijue wala kuhisi kama kweli unampenda, kwa maana akijua revenge yake utalia!