mikedean
JF-Expert Member
- Mar 15, 2018
- 3,255
- 4,599
Hii stendi miundombinu yake ni mbovu sana liwake jua au mvua inyeshe. Manispaa ya Kinondoni inazingua sana. Ifanye maboresho ya haraka pale stendi kwa kurekebisha vyoo na sakafu iliyo na mashimo isawazishwe vizuri.
Magari yanalipia ushuru 1000/= lakini bado hakuna maboresho yoyote miaka nenda rudi. Kama hamjui madereva wanataka kugoma kuingiza magari yao pale maana mnayaua matairi na spare mbalimbali.
Maendeleo hayana chama
Sent using Jamii Forums mobile app
Magari yanalipia ushuru 1000/= lakini bado hakuna maboresho yoyote miaka nenda rudi. Kama hamjui madereva wanataka kugoma kuingiza magari yao pale maana mnayaua matairi na spare mbalimbali.
Maendeleo hayana chama
Sent using Jamii Forums mobile app