Anayepinga jitihada za Mh Rais kupigania maliasili zetu ni msaliti anapaswa anyongwe

Wasaliti huwa wanajinyonga wenyewe..

571d4e691e2c81481903080db607c841.jpg
Dr Sean Beer alitakiwa aanze yeye kujitundika kwa kuwa alishiriki kuutengeneza huu upuuzi wa makinikia.
 
aonyeshe na mikataba ya Bombardier na standard gauge aache porojo,nilimshangaa sana ety anatuuliza watanzania nan katuloga???????? wa jibu anayo n ccm ndo wametuloga huyu Raisikimu bhana
 
Umenena vyema usisahau kuanza na baraza lote la mawaziri la awamu ya tatu na nne, wakimaliza hao Kama vitanzi vitabaki ndo wanyongwe na Hawa wengine sasa
 
Haingii akilini kabisa kuona jitihada za kizalendo zinazofanywa na Mh Rais za kutetea maliasili zetu zikiigawa nchi kwa kupinga jitihada hizo, Kumekua na wanasiasa ambao sasa inapaswa kuchunguzwa maslahi ya kupinga jitihada hizo na ikigundulika dhambi ya usaliti wao ni vyema wakauawa ili wapishe mwendo na safari ya Tanzania mpya iendelee, mwanasiasa anadiriki kukosoa kila aina ya jitihada hizo ilikua ni vyema wananchi wote tukawa pamoja ili kutetea maslahi yetu badala ya kuwapa nguvu maadui.
wapinzani Mwaka '98 walipinga hii kitu ya madini na walionyesha uzalendo kwa kutoka nnje ya bunge kupinga hii kitu.. wakati huo MR POMBE nae alikuwepo mjengoni na aliungana na waliotufikisha hapa leo kwa kushangilia na kupiga (hebu piga picha kama unamuona wakati anapiga meza kushangilia) meza kwa mikono miwili kuunga mkono sheria ya madini na huku akiwazomea wabunge wa upinzani wakati wanatoka nnje ya ukumbi. saasa tumuunge mkono vipi wakti naye alihusika kupitisha muswada huu unaotuumiza leoooo???
WAPAMBE SEMENI HAKUWEPO AU ALIINAMA CHINI ASIONEKANE:D:rolleyes:o_O

 
Haingii akilini kabisa kuona jitihada za kizalendo zinazofanywa na Mh Rais za kutetea maliasili zetu zikiigawa nchi kwa kupinga jitihada hizo, Kumekua na wanasiasa ambao sasa inapaswa kuchunguzwa maslahi ya kupinga jitihada hizo na ikigundulika dhambi ya usaliti wao ni vyema wakauawa ili wapishe mwendo na safari ya Tanzania mpya iendelee, mwanasiasa anadiriki kukosoa kila aina ya jitihada hizo ilikua ni vyema wananchi wote tukawa pamoja ili kutetea maslahi yetu badala ya kuwapa nguvu maadui.
utanyongwa na Mungu, hutadumu ukubwani
 
Anatakiwa aombe radhi Watanzania jinsi serikali ya chama chake kilivyofanya uharamia kwenye mikataba mibovu iliyosabaisha matrilioni ya pesa kupotea, kisha apewe muda wa kukusanya mapesa hayo yarudi Tanzania.
 
wapinzani Mwaka '98 walipinga hii kitu ya madini na walionyesha uzalendo kwa kutoka nnje ya bunge kupinga hii kitu.. wakati huo MR POMBE nae alikuwepo mjengoni na aliungana na waliotufikisha hapa leo kwa kushangilia na kupiga (hebu piga picha kama unamuona wakati anapiga meza kushangilia) meza kwa mikono miwili kuunga mkono sheria ya madini na huku akiwazomea wabunge wa upinzani wakati wanatoka nnje ya ukumbi. saasa tumuunge mkono vipi wakti naye alihusika kupitisha muswada huu unaotuumiza leoooo???
WAPAMBE SEMENI HAKUWEPO AU ALIINAMA CHINI ASIONEKANE:D:rolleyes:o_O
Bunge lilipitisha mkataba na acacia?lini na wapi?
 
Wakunyongwa ni matakataka yote ya CCM akiwepo huyo anayejifanya ana uchungu leo kipindi ananyanyua magwangala yake huku akisema Ndiyo hakulijua kuwa tunaibiwa
 
Nitamuunga mkono siku akiwawajibisha marais waliopita na akishughulikia uuzwaji wa nyumba za shirika la nyumba la taifa kwa bei ya kutupa na kuliingizia hasara taifa
 
Haingii akilini kabisa kuona jitihada za kizalendo zinazofanywa na Mh Rais za kutetea maliasili zetu zikiigawa nchi kwa kupinga jitihada hizo, Kumekua na wanasiasa ambao sasa inapaswa kuchunguzwa maslahi ya kupinga jitihada hizo na ikigundulika dhambi ya usaliti wao ni vyema wakauawa ili wapishe mwendo na safari ya Tanzania mpya iendelee, mwanasiasa anadiriki kukosoa kila aina ya jitihada hizo ilikua ni vyema wananchi wote tukawa pamoja ili kutetea maslahi yetu badala ya kuwapa nguvu maadui.
Raisi anayepigania mchanga kusafirishwa na wakati huo madini halisi akiyaruhusu kwa moyo mmoja, unatwambia tumuunge mkono while wanufaikaji ni wao na siyo sisi ?? Jitafakari upya .
 
Back
Top Bottom