Dr Lizzy
Platinum Member
- May 25, 2009
- 30,808
- 59,317
Ila usisahau kitu kimoja. Urafiki wa kawaidia kati ya watu wa jinsi mbili huwa ni wa pekee sana. Mara nyingi hawa watu watapaswa kushea interests kadhaa au kutunziana siri, kushauriana, kusoma, kufanya kazi pamoja nk.. wengine hata hufanyiana ukuwadi. Uhusiano wenyewe usipokuwa natural enough (ktk sensi ya upekee wake) hautakawia kuporomoka na hivyo kutofikia malengo.
Ukuwadi tena?!HAYA!!!