nyumbamungu
JF-Expert Member
- Mar 3, 2017
- 997
- 828
Wadau habari ya asubuhi,
Huwa kila asubuhi ninasikiliza redio washirika wanapojiunga na redio za nje kwaajili ya kupata habari lakini leo Agosti 20 sipati hata redio moja kurusha matangazo hayo.
Mwenye kupata matangazo naomba atoe mrejesho.
Huwa kila asubuhi ninasikiliza redio washirika wanapojiunga na redio za nje kwaajili ya kupata habari lakini leo Agosti 20 sipati hata redio moja kurusha matangazo hayo.
Mwenye kupata matangazo naomba atoe mrejesho.