Elice Elly
JF-Expert Member
- Dec 9, 2018
- 1,268
- 1,593
Nchi hii tangu tupate Uhuru IPO chini ya CCM na siyo Mbowe.
Umaskini wa nchi hii umeletwa na CCM siyo Mbowe.
Ufisadi Mkubwa tangu tupate Uhuru umefanywa na CCM.
Ukosefu wa elimu bora katika Taifa tangu tupate Uhuru umefanywa na CCM.
Uvunjwaji Mkubwa wa Sheria za nchi tangu tupate Uhuru unaongozwa na CCM.
Wizi wa rasilimali za Taifa hili tangu Uhuru unafanywa na CCM.
Mikataba mibovu ya kuliibia Taifa hili inafanywa na CCM.
Hao mnaowaita Leo mabeberu ni CCM inafanya nao mikataba mbali mbali huku wakileta hela ikiwaita wadau wa maendeleo, wakikemea mabaya ya CCM wanaitwa mabeberu.
Ni CCM inayo ligawa Taifa kwa hitikadi mbali mbali zinazo bomoa umoja wa kitaifa.
Ni CCM ndiyo walioua viwanda mbali mbali katika Taifa letu.
Mambo mengi mabaya yamefanywa na CCM ikiwa ni pamoja na kuliingizia taifa hasara nyingi.
Sasa huyo Mbowe mnaye msurubu kwa mabaya mliyofanya nyinyi mnataka kumfanya kuwa kafara kwa maovu yenu?
Acheni kufanya mambo yatakayo mchukiza Mungu.Kwa mabaya mliyolitendea Taifa hili mlipaswa kukaa kimya,msidhani kwamba watanzania ni wajinga kiasi hicho.IPO Siku Mungu Atawaumbua.
Umaskini wa nchi hii umeletwa na CCM siyo Mbowe.
Ufisadi Mkubwa tangu tupate Uhuru umefanywa na CCM.
Ukosefu wa elimu bora katika Taifa tangu tupate Uhuru umefanywa na CCM.
Uvunjwaji Mkubwa wa Sheria za nchi tangu tupate Uhuru unaongozwa na CCM.
Wizi wa rasilimali za Taifa hili tangu Uhuru unafanywa na CCM.
Mikataba mibovu ya kuliibia Taifa hili inafanywa na CCM.
Hao mnaowaita Leo mabeberu ni CCM inafanya nao mikataba mbali mbali huku wakileta hela ikiwaita wadau wa maendeleo, wakikemea mabaya ya CCM wanaitwa mabeberu.
Ni CCM inayo ligawa Taifa kwa hitikadi mbali mbali zinazo bomoa umoja wa kitaifa.
Ni CCM ndiyo walioua viwanda mbali mbali katika Taifa letu.
Mambo mengi mabaya yamefanywa na CCM ikiwa ni pamoja na kuliingizia taifa hasara nyingi.
Sasa huyo Mbowe mnaye msurubu kwa mabaya mliyofanya nyinyi mnataka kumfanya kuwa kafara kwa maovu yenu?
Acheni kufanya mambo yatakayo mchukiza Mungu.Kwa mabaya mliyolitendea Taifa hili mlipaswa kukaa kimya,msidhani kwamba watanzania ni wajinga kiasi hicho.IPO Siku Mungu Atawaumbua.