mugah di matheo
JF-Expert Member
- Jul 28, 2018
- 6,276
- 12,335
Anaepaswa kumtaarifu mtu kuwa anatakiwa kwenda kutoa hasa kwa upande wa mashitaka hususan Jamuhuri??
Je ni Dpp?
Je ni DCI ?
Au ni Polisi??
Je ni Dpp?
Je ni DCI ?
Au ni Polisi??
Na vipi huyu Swila, atakua alitumwa na DPP kwenda kuongea na OCS wa TAZARA kwamba afike mahakamani kama shahidi? Walikaa siku ya Jpili ili kuandaa ushahidi kwenye DR (pamoja na kwamba vituo vya polisi vinafanya kazi 24/7, lakini hii inaacha maswali....)
Ndiyo madhara ya kesi za michongo na washahidi wa michongoNa vipi huyu Swila, atakua alitumwa na DPP kwenda kuongea na OCS wa TAZARA kwamba afike mahakamani kama shahidi? Walikaa siku ya Jpili ili kuandaa ushahidi kwenye DR (pamoja na kwamba vituo vya polisi vinafanya kazi 24/7, lakini hii inaacha maswali....)
Kwa mujibu wa shahidi wa leo. Swila ndiye alimwambia kuwa anahitajika kama shahidi mahakamani na aende na detention register. Swila anatokea ofisi ya DCI.Anaepaswa kumtaarifu mtu kuwa anatakiwa kwenda kutoa hasa kwa upande wa mashitaka hususan Jamuhuri??
Je ni Dpp?
Je ni DCI ?
Au ni Polisi??
Hii ni hatari sana kwa afya ya kupatiwa hakiPolisi wametuhumu, polisi wamekamata, polisi wameshtaki na polisi hao hao ndio mashahidi.
Only in Tanzania mpya.
Bwashee Leo tumeambiwa swila ndio alimpa taarifa shahidi kuwa anahitajika mahakamani