Anayepaswa kulinda siri za harakati ya siri wa kwanza ni aliyekutuma, Sabaya yupo sahihi kuwalipua ambao wamemlipua

Maisha ni harakati, na unapopewa kazi ya ujasusi ama kijeshi unapaswa kuhakikishiwa usalama wako na usalama wa taarifa zako. Serikali ya Samia ilipaswa kumlinda Sabaya na kuhakikisha hafiki mbele ya mahakama za kiraia. TISS fanyeni kazi yenu acheni kutumikishwa na wanasiasa, mlishindwa nini kunusa side effects?
Una uhakika gani alitumwa? Hakutumwa ndio maana kalipuliwa
 
... and this seals his FATE!
1628953180886.png
 
Ninachojua ni kuwa Tanzania ni mojawapo ya nchi Bora zaidi Duniani kwa mafunzo ya ujasusi.
Issue ya Sabaya ni mojawapo ya somo zuri sana kwa majasusi watarajiwa.
 
Maisha ni harakati, na unapopewa kazi ya ujasusi ama kijeshi unapaswa kuhakikishiwa usalama wako na usalama wa taarifa zako. Serikali ya Samia ilipaswa kumlinda Sabaya na kuhakikisha hafiki mbele ya mahakama za kiraia. TISS fanyeni kazi yenu acheni kutumikishwa na wanasiasa, mlishindwa nini kunusa side effects?
Tatizo ni siasa ndani ya kazi zisizohitaji siasa
 
Kwa utetesi wake wa kugeuka kiapo chake Cha kuilinda Siri watamterminate ili asiendelee kuropoka!
 
Kama umetumia mission na ukajiumbua hata kukanwa unakanwa tu. Siku nyingine atafute mtu wa kumtumia si kujipeleka yeye kisa katumwa.
 
Unafahamu nguvu ya Rais nchi hii wewe? ama unaropoka tu. By the way SABAYA hakukamatwa na maadui wa nje waliomkamata ni walewale waliomtuma we ulitaka ajitete vipi?
Amuulize Mbowe,Sasa ndiyo anajua kumbe hata Rais akiwa Mwana Mama nguvu ya Rais ni ileile!!
 
Kwahiyo ulitaka TISS wamlinde huyo mhalifu? unataka kusema na Tisss washiriki? Hopeless kweli wewe. TISS ni mali ya yaifa la tanzania sio wahuni wachache
Kwani aliyekuwa anafunga Maduka ya kubadilisha fedha ni aerkali au sio?
Kwani aliye ruhusu ikamatwe mashine ya kutengeneza hela feki ni serkali au sio?.

Ikiwa hizo zilikuwa ni missiin za Sabaya . Basi ni udhaifu wa TISS. Maana kwanini Jambazi awe vetted na aendelee wasimnyamazishe anadhuru wananchi kupitia wanasiasa

Na ikiwa zilikuwa mission za serkali halafu wamezigeuka huo ni udhaifu wa TISS. Kwanini watumike kisiasa.

Ipo siku askari wetu wanaowatuma kwa mission za kitaifa na kimataifa iwe Somalia, Congo au iliyofanyika Uganda watashtakiwa na kuhumiwa adhabu. Maana katika mission hizo huua, hu ambush na kuteka.

Hii ieleweke kuwa watumishi ambao hutumwa kwa mission ndani na nje watakosa morali maana watageukwa na wanasiasa ili kufurahisha umma.

TISS ni bure kabisa, tunaitegemea na kuiamini lkn inatuangusha, acha PK aonekane smart kwa ukanda wetu. Huenda kwa kuwa ni askari.
Najiuliza Teuzi unateua Jambazi halafu anafanya ujambazi wa wazi kwa muda mrefu. How?
 
Hapa nyumbani hatuna TIZZ bali wahuni wachache. Hii TIZZ ya yule mpare asiye na akili aliyewaingiza MATAGA kwenye taasisi nayo unaweza iita TIZZ?
 
Tiss hii ni aibu yao mnapokuwa na idara inayolinda maovu mengi ya kiongozi mkuu ni hatari kwa wananchi, leo hii tunaona wananchi wanalalamika kuporwa haki zao huku kukiwa na mkono na baraka za usalama wa taifa na tasisi ya uraisi, Idara ya usalama pia inahitaji mabadiliko makubwa ili kuwa na maslahi mapana Kwa ajili ya nchi na wananchi na si viongozi kama rais, makamu au wazuri mkuu tu
Sasa unategemea nini kama mkurugenzi ni Diwani ambaye ni zezeta tu halijui nini linafanya hapo
 
Back
Top Bottom