William J. Malecela
R I P
- Apr 27, 2006
- 26,588
- 10,374
WANANCHI wametakiwa siku ya kupiga kura kuwa macho na watu wanaoweza kwenda kuwanunua kwa kuwagawia fedha wabadilishe msimamo wao.
Siku ya kupiga kura, kuna watu wanaweza kupita na kutoa fedha ukiona mtu ananunua shahada, anatumia fedha kukununua, hataona aibu kukuuza, kwa maana ya kuuza haki yako ya maendeleo,
"MSISITIZO WANANCHI KUWENI MAKINI KWAMTU ANAE NUNUA SHAHADA NA HAONI AIBU KUUZA HAKI"
Siku ya kupiga kura, kuna watu wanaweza kupita na kutoa fedha ukiona mtu ananunua shahada, anatumia fedha kukununua, hataona aibu kukuuza, kwa maana ya kuuza haki yako ya maendeleo,
"MSISITIZO WANANCHI KUWENI MAKINI KWAMTU ANAE NUNUA SHAHADA NA HAONI AIBU KUUZA HAKI"