Inaitwa MagazijutoNimepigiwa simu na A baada ya daakika mbili nikamwambia niko na kazi nafanya ntakutafuta, baada ya kukata nikampigia B, mara ya kwanza hajapokea, nikapiga tena kapokea anasema anataka apunzike,
Ngoma drooo.
Nimepigiwa simu na A baada ya daakika mbili nikamwambia niko na kazi nafanya ntakutafuta, baada ya kukata nikampigia B, mara ya kwanza hajapokea, nikapiga tena kapokea anasema anataka apunzike,
Ngoma drooo.
Wallah ndo status ya hapo🤣🤣🤣Hii nai screenshot kabisa
Ngoja kwanza..mbona kama ni "Atleast one not score'Hiyo kitaalam tunaita "Both teams to score"
Tunazika ama tunasafirisha?Nimepigiwa simu na A baada ya daakika mbili nikamwambia niko na kazi nafanya ntakutafuta, baada ya kukata nikampigia B, mara ya kwanza hajapokea, nikapiga tena kapokea anasema anataka apunzike,
Ngoma drooo.
Tena bila ndomu na nyimbo anaimba usisahau na kiuno feniHuyo B sio kuwa anapumzika bali anataka kugaragazwa...
Hiyo kitaalam tunaita "Both teams to score"