Anayenitafuta sina muda, ninayemtafuta hana muda na mimi

sanalii

JF-Expert Member
Oct 1, 2018
1,434
5,088
Nimepigiwa simu na A baada ya dakika mbili nikamwambia niko na kazi nafanya nitakutafuta, baada ya kukata nikampigia B, mara ya kwanza hajapokea, nikapiga tena kapokea anasema anataka apunzike.

Ngoma drooo.
 
Nimepigiwa simu na A baada ya daakika mbili nikamwambia niko na kazi nafanya ntakutafuta, baada ya kukata nikampigia B, mara ya kwanza hajapokea, nikapiga tena kapokea anasema anataka apunzike,

Ngoma drooo.
Inaitwa Magazijuto
 
Nimepigiwa simu na A baada ya daakika mbili nikamwambia niko na kazi nafanya ntakutafuta, baada ya kukata nikampigia B, mara ya kwanza hajapokea, nikapiga tena kapokea anasema anataka apunzike,

Ngoma drooo.

IMG-20211119-WA0095.jpg
 
Back
Top Bottom