themagnificient
JF-Expert Member
- Dec 13, 2016
- 946
- 3,224
Hii kampuni nimewaungisha sana lakini kwa sasa nataka kuwakimbia.
Tajiri ana mabasi ambayo yana namba A yapo barabarani yamechakaa.
Hata ile ajali ya Mbeya, juzi inasemekana uchakavu wa gari nao ni chanzo kikubwa.
Tajiri hanunui gari mpya anavizia wenzake wafilisike or magari yao yachoke kisha anayanunua kwa bei rahisi kisha anayapeleka gereji yake anayachomelea na kuyapiga rangi kisha anayaweka barabarani anayaita luxury.
Mfano ni zile gari za Dar Lux kazinunua kazipiga rangi kisha akaweka engine za Scania , akazileta barabarani ila cha kushangaza yale magari yana AC juu ila ukipanda ni joto kwa kwenda mbele hamna AC mule ni janja janja.
Magari ya Kilimanjaro baadhi yameshachoka, mengine hadi ndani kuna harufu ya uvundo lakini mmiliki anajidani anatoa huduma za kisasa.
Ni muda muafaka kwa wamiliki wa hii kampuni wakiona ubahili kununua Scania mpya basi wamgeukie mchina la sivyo hii kampuni tutaikimbia soon.
Angalia matajiri wengine kama Nacharo na Sauli. Sauli alianza na gari chache juzi kanunua Marco polo mpya kaweka barabarani.
Juzi Nacharo ya Tanga baada ya kucheza na mchina kwa kipindi kifupi juzi kanunua gari mpya za marcopolo scania kweka barabarani.
Na siku hizi makampuni ya kuunda mabasi kama una kampuni kubwa unachukua magari na unalipa kwa awamu sijui anakwama wapi.
====================
====================
Nimeona watu humu wanamtetea Bwana sawaya kuwa kama vipi nipande gari lingine wengine wanasema bila ubahili wa sawaya angeshafilisika zamani so kwa biashara ya kuendelea na gari mbovu ndio atadumu sokoni
Hivi niwaulize Abood bus,Ratco,Raha leo,Tashriff,Shabiby,super feo, Dar express,Allys ambao ni wakongwe kwenye game na wana gari mpya barabarani ni wajinga?
Lengo la uzi huu ni Sawaya aache tabia ya kuwakatia watu ticket akiwadanganya kuwa gari ni luxury alafu watu wanakuja kushtukia sio luxury anafanya makosa
Tajiri ana mabasi ambayo yana namba A yapo barabarani yamechakaa.
Hata ile ajali ya Mbeya, juzi inasemekana uchakavu wa gari nao ni chanzo kikubwa.
Tajiri hanunui gari mpya anavizia wenzake wafilisike or magari yao yachoke kisha anayanunua kwa bei rahisi kisha anayapeleka gereji yake anayachomelea na kuyapiga rangi kisha anayaweka barabarani anayaita luxury.
Mfano ni zile gari za Dar Lux kazinunua kazipiga rangi kisha akaweka engine za Scania , akazileta barabarani ila cha kushangaza yale magari yana AC juu ila ukipanda ni joto kwa kwenda mbele hamna AC mule ni janja janja.
Magari ya Kilimanjaro baadhi yameshachoka, mengine hadi ndani kuna harufu ya uvundo lakini mmiliki anajidani anatoa huduma za kisasa.
Ni muda muafaka kwa wamiliki wa hii kampuni wakiona ubahili kununua Scania mpya basi wamgeukie mchina la sivyo hii kampuni tutaikimbia soon.
Angalia matajiri wengine kama Nacharo na Sauli. Sauli alianza na gari chache juzi kanunua Marco polo mpya kaweka barabarani.
Juzi Nacharo ya Tanga baada ya kucheza na mchina kwa kipindi kifupi juzi kanunua gari mpya za marcopolo scania kweka barabarani.
Na siku hizi makampuni ya kuunda mabasi kama una kampuni kubwa unachukua magari na unalipa kwa awamu sijui anakwama wapi.
====================
====================
Nimeona watu humu wanamtetea Bwana sawaya kuwa kama vipi nipande gari lingine wengine wanasema bila ubahili wa sawaya angeshafilisika zamani so kwa biashara ya kuendelea na gari mbovu ndio atadumu sokoni
Hivi niwaulize Abood bus,Ratco,Raha leo,Tashriff,Shabiby,super feo, Dar express,Allys ambao ni wakongwe kwenye game na wana gari mpya barabarani ni wajinga?
Lengo la uzi huu ni Sawaya aache tabia ya kuwakatia watu ticket akiwadanganya kuwa gari ni luxury alafu watu wanakuja kushtukia sio luxury anafanya makosa