Wakuu habari za shughuli. Tafadhali kama kuna mtu yeyote aliyesoma shule tajwa hapo juu au jirani na shule hiyo au una jamaa kwenye hiyo shule, naomba anipatie mawasiliano ya mwalimu yeyote yule anayefundisha pale. Itakuwa vizuri zaidi kama nitapata mawasiliano ya mwalimu Joseph Remiji Mtinangi. Alikuwa rafiki yangu sana nilikuwa naye sekondari ya Tanga Tech. miaka lukuki iliyopita. Natanguliza shukrani nyingi sana.