technically
JF-Expert Member
- Jul 3, 2016
- 11,975
- 48,843
Zilitumia billion 200 kukusanya maoni ya wananchi na Jaji Warioba.
Maoni yakawekwa kapuni
Kuna watu wanasema katiba sio kipaumbele yaani Leo ndio mnaona katiba sio kipaumbele wapuzii nyie
Billion 200 zilitengwa kwenda kuosha mataili ya gari au? Zilitengwa kutwanga maji kwenye kinu?
Wanaosema katiba sio kipaumbele ni watu wapumbavu Mimi nawaita maana hawaoni kwamba katiba ya sasa ni kiasi gani imeleta madhara katika taifa letu.
Mimi nitasimama kuhesabiwa kipindi hiki kabla ya 2025 tunataka katiba mpya kwa namna yeyote
Hatutishani Bali tuambiwe pesa zilizotumika mwaka 2013 na 2014 kukusanya maoni kama katiba hawaleti hizo pesa zinarudi vipi tujenge barabara.
Katiba ndio jambo la msingi kwa sasa kuliko mambo yote tunataka katiba mpya ya warioba yenye maoni ya Watanzania.
Maoni yakawekwa kapuni
Kuna watu wanasema katiba sio kipaumbele yaani Leo ndio mnaona katiba sio kipaumbele wapuzii nyie
Billion 200 zilitengwa kwenda kuosha mataili ya gari au? Zilitengwa kutwanga maji kwenye kinu?
Wanaosema katiba sio kipaumbele ni watu wapumbavu Mimi nawaita maana hawaoni kwamba katiba ya sasa ni kiasi gani imeleta madhara katika taifa letu.
Mimi nitasimama kuhesabiwa kipindi hiki kabla ya 2025 tunataka katiba mpya kwa namna yeyote
Hatutishani Bali tuambiwe pesa zilizotumika mwaka 2013 na 2014 kukusanya maoni kama katiba hawaleti hizo pesa zinarudi vipi tujenge barabara.
Katiba ndio jambo la msingi kwa sasa kuliko mambo yote tunataka katiba mpya ya warioba yenye maoni ya Watanzania.