Gosbertgoodluck
JF-Expert Member
- Mar 3, 2008
- 2,855
- 401
Wadau,
Nina mwezi wa nne mfululizo naumwa amoeba na nimetumia kila aina ya madawa lakini wapi haitoki. Mara kadhaa nikienda maabara naambiwa nina amoeba na minyoo ya ascaris. Nimetumia sana dawa za kisasa lakini natesekea tu bila kupata nafuu. Hivi jamani hakuna tiba mbadala ya amoeba na ascaris? Tafadhali naomba msaada.
Nina mwezi wa nne mfululizo naumwa amoeba na nimetumia kila aina ya madawa lakini wapi haitoki. Mara kadhaa nikienda maabara naambiwa nina amoeba na minyoo ya ascaris. Nimetumia sana dawa za kisasa lakini natesekea tu bila kupata nafuu. Hivi jamani hakuna tiba mbadala ya amoeba na ascaris? Tafadhali naomba msaada.