Anayejua siasa za Afrika Mashariki anieleweshe

Jul 1, 2016
10
4
Naomba nieleweshwe kuhusu mahusiano ya Rwanda na Tanzania, Kenya na Sudan kusini.

Pia mahusiano kati ya raila odinga na JP magufuli. Na mahusiano haya yana athari gani kati ya siasa za tz na ke.?

Kuna kitu kati ya Uhuru Kenyata na Lowassa? Leo tumeona akihudhuria kusimikwa kwa askofu wa kianglikana kule Kenya. Na mazungumzo yao kutokuwekwa wazi.

Naomba nieleweshwe ni kitu gani kinajengeka EAC?
 
Back
Top Bottom