Anayejua sehemu yoyote penye ujenzi wa barabara kwa sasa anistue. Mimi sijaona tangu awamu ya 6 iingie madarakani

Kazi za ujenzi anafanya sana tu ila kurugenzi ya mawasaliano ya Shaban Kisu ilikuwa hopeless

Kukaa kimya kutosema kilichofanyika watu wanadhani labda hakuna kinachoendelea na yeye Mama Samia kujieleza mafanikio yake au anachofanya midomo mizito tofauti na Magufuli

Kinywa cha Mama Samia kizito

Mimi binafsi nilikuwa najua huyu mama hamna kitu lakini baada ya kupata taarifa zenye takwimu nikaamini kafanya makubwa mengi ila watendaji wake na yeye hawayasemi utasikia tu ohhh mama anafanya kimya kimya tofauti na mtangulizi wake Magufuli mpiga yowe kila kitu anaita press!!! Sera gani hiyo ya kimya ?eleza tu kodi za watu nini umefanya usiogope au kuona aibu .

Zuhura Yunus nadhani hili aliangalie akutane mara kwa mara na waandishi wa habari kuwaeleza what is going on so far aliyofanya Mama Samia

Mama Samia anasifiwa tu kwa madarasa tu si kweli na yenyewe anasifiwa sababu ya Ummy Mwalimu alikuwa ndiye aongea mara kwa mara kuwa mama kajenga madarasa nchi nzimav public ndio ikapata information

Mawaziri wengine igeni Ummy Mwalimu pia kueleza nini kinafanyika kwa sasa wizara zenu kwenye public vinginevyo Hamtetendei haki mama Samia anaonekana hana alifanyalo
Kila siku tunawaletea Takwimu humu hamuelewi,kwa taarifa yenu Samia kwenye Kila sekta unayoijua wewe si tuj anafanya bali aliongeza bajeti..

Vituo vya afya zaidi ya 200 vinajemgwa kwa mpigo Nchi nzima .

Tarura walikuwa na bajeti ya bil 200 hivi sasa iko zaidi ya bil.900 ,kwani saizi unasikia kelele nyingi kama awali?..
 
Sidhani Hata JK alikuwa na tatizo hilo hilo la Samia anafanya mengi halafu hasemi wala mawaziri hawasemi ndio maana alikuwa anaonekana kama dhaifu asiyefanya kitu

Kodi za watu kutumia piga yowe presss kuwa angalia kile kinafanyika

Nina Imani na Zuhura Yunus ata coirdinate hilo zoezi kila mwezi mawaziri wote wapeleke briefing ya nini kinafanyika positive wizara zao wampe raisi atumie kuhutubia hotuba ya kila mwezi as a monthly progress report kuongea na watanzania ukimya sio mzuri
Mambo ni mengi mda ni mchache, acheni kuangalia pono angalieni TV vyote mtaviona. 👇

Samia anaupiga mwingi Sana ila hapendi shobo.

Screenshot_20220131-085639.png


Screenshot_20220131-085242.png


Screenshot_20220130-193704.png


Screenshot_20220130-180754.png


Screenshot_20220130-101710.png


Screenshot_20220131-085833.png


Screenshot_20220131-085900.png


Screenshot_20220131-090039.png


Screenshot_20220131-150236.png


Screenshot_20220131-220651.png


Screenshot_20220129-231540.png


Screenshot_20220129-231604.png


Screenshot_20220129-231423.png


Screenshot_20220129-231247.png


Screenshot_20220129-231048.png


Screenshot_20220129-204007.png


Screenshot_20220125-215009.png


Screenshot_20220125-214011.png


Screenshot_20220125-083415.png
 
MATAGA wameomba commercial break watoe burudani kidogo kwani siku bado ni ndefu😁😁😁
 
Huyu mama siyo mwizi shida usimamizi tu ni changamoto kwake ndiyo maana wahuni wanaokula kulingana na urefu wa kamba yao hawawezi kusema hafanyi kitu hata siku moja
Nani aliyekula unayemfahamu wewe? Pesa ya serikali hailiwi kirahisi kwa sasa pesa iko kwenye mfumo kuitoa tuu ni ishu.
 
Kuna r

kwenye kurasa za TAMISEMI kuna mengi yame fanyika. Ila watanzania ni watu wa kupinga na chuki binafsi. Mtu ana mchukia JK ukimuuliza hana sababu.
Watafute TikTok,insta ,fb na kwenye ujinga mwingine ila kwenye mambo ya msingi huwezi kuwakuta huko..

Afu watu wengi wa mjini huwa hawaoni impacts ya maendeleo kwa sababu Wana options nyingi.
 
Watafute TikTok,insta ,fb na kwenye ujinga mwingine ila kwenye mambo ya msingi huwezi kuwakuta huko..

Afu watu wengi wa mjini huwa hawaoni impacts ya maendeleo kwa sababu Wana options nyingi.
Natumia facebook kidogo kwakua kuna habari za haraka, ila sasa mtu ana mtukana January Makamba ukimuuliza sababu hata hajui utaskia team msoga.
Yani huko wana mtusi raisi wazi, kuna ile heshima tu ya kwamba huyu kanizidi umri nimuheshimu kule hamna
 
Back
Top Bottom