Hizi zilianza toka 2019
Kwahiyo hawa mafundi wanaojenga hapa wapo mwaka gani?
Hizi zilianza toka 2019
Nyege zimepanda kichwani, yaani ujenzi wa bajeti ya bil.200 ni sawa na ujenzi wa bajeti ya bil.900?Kiukweli ujenzi upo lakini sio ule wa enzi ya marehemu JPM. Jamaa wanalipua kiasi kuna lami nimeiona kinondoni manyanya mtaa wa Loliondo sijui daa ni mapuya tupu mpya halafu.
Sent from my Infinix X605 using JamiiForums mobile app
Sijui unachoongea wewe kina uhalisia kiasi gani.Chini ya Samia mwendokasi wameongeza fleet ya mabasi na wameongeza makusanyo 👇Nina mashaka na hii.mwendokasi inaweza ikaisha 2027. Binafsi kwa jinsi navyoona uendeshaji wa BRT ulivofeli vibaya ninashauri zingejengwa barabara nyingi tuu lakini sio mwendokasi tena .
Sent from my Infinix X605 using JamiiForums mobile app
Hawa hawaaminiki tena. Kitu kinachohusu data ni waongo. Wacha tuone sisi wenyewe kwa machoSijui unachoongea wewe kina uhalisia kiasi gani.Chini ya Samia mwendokasi wameongeza fleet ya mabasi na wameongeza makusanyo 👇
View attachment 2105682
Lini ulidanganywa? Kama una macho ila huoni una shida,unashindia pono utaona wapi?Hawa hawaaminiki tena. Kitu kinachohusu data ni waongo. Wacha tuone sisi wenyewe kwa macho
Lakini wadokozi ni wengi kuliko weziLini ziliwahi isha hizo hati chafu? Hati chafu ni kukosa nyaraka ambatanishi ,sio lazima kwamba watu wameiba..
Afu hapa Tzn watu ni wadokozi sio wezi,wezi wako Kenya,Nigeria nk
Kuna barabara serious inajengwa ndani ya miezi 8? Na unataka barabara zijengwe bila mipango. Last week Analysis imetangazwa ya Kibaha to Chalinze highway. Acheni kumuonea Samia bila sababu za msingi.tunataka inayojengwa sio iliyoko kwenye mipango. Kwa tz mipango kibao