Ghafla bin vuu mambo yakabadilika. Akasema hataki kodi za Dhulma.akaja na kodi za wizi, akasema atakaa na wapinzani kuweka mambo sawa ghafla kutwa nzima anawawinda kwa mitutu na Marungu.

Akasema unyanyasaji kwake mwiko mbona sheria mbovu hataki zirekebishwe??

Nani alimwambia Rais Samia kuwa kunyanyasa watu kutampa mafanikio?

Nani alimwambia Rais Samia kuminya uhuru wa maoni na kuweka misingi ya demokrasia uwazi na uwajibikaji kuaa atatoboa?

Nani anamdanganya?

Nani anamtumwa kwamba akidhibiti watu kwa mkono wa chuma nchi itasonga mbele?

Je Magufuli mtangulizi wake aliyetawala nchi kama yake alifanikiwa?

Uganda na Rwanda wamefanikiwa? vipi Somalia na Sudani wamefanikiwa?

Kenya je?

Mama unajidanganya. Fanya wajibu wako. Hao unaotaka kuwafurahisha watakufurahisha siku moja hutaaamini.
 
ngoja waje mimi siti ya mbeleee
JamiiForums-1038639680.jpg
 
Ameishaonja kafara ya madaraka mwanzo alikuwa na mipango wa kuachia 2025
Sasa wameishamtamanisha aendelee mpaka 2030 uko tayari kufanya lolote
 
Popote ulipo Hayati Rais Magufuli, tusamehe... uliwahi kusema tutakukumbuka tukajua ni utani. Ila leo ni dhahiri tutakukumbuka.

Baba toka umetuacha mpaka sasa watoa huduma wala wakandarasi wale wakubwa na wadogo. wa nje ama wa ndani hawajalipwa..

Baba ulikuwa unapata wapi fedha za kuendesha miradi?.Baba uliwezaje kufinance miradi yote kwa pamoja?..Hali kwa sasa ni ngumu Baba. Miezi 3 nothing is going on.

Baada ya kipindi cha mpito. Now wanamchi na wafanyabiashara wanataka real things to happen ila hakuna kitu zaidi ya maneno tu. But Baba hawa si walikuwa wasaidizi wako? kwa nini hukuwambia namna ya kupata fedha na ku3ndesha miradi?

Baba umetuachia Taifa ambalo miezi mitatu ijayo tena nchi inagota. Uliondoka mapema bila kuamdaa watu wako vya kutosha.
 
Subiri kushambuliwa mleta mada. Hiyo ni highly likely.....ha ha ha haaaa!
====
Mkuu mmejaribu kutumia taratibu zilizopo mmapate chenu imeshindikana kweli!?
 
Nondo nzito. Sasa sijui kama anasoma maana kama hasomi ni hasara kubwa kwake. Aache kuimba taarabu

Mama Samia achana na cheap popularity haitakusaidia lolote unatakiwa usiwe muongeaji sana maana naona unaanza kutoboa matundu ya hela wakati huo ukiwa umewekwa kwenye mtego mgumu na mzito sana wa ilani yenye kurasa 300 ya kutekeleza miradi yote iliyoko kwenye ilani.

Yaani kumbuka sasa hivi hauko kwenye meli mpya uko kwenye meli ileile sema tu imepata mawimbi katikati ya safari.

Mama nimekushangaa sana unaposema kuna miradi mingine iko kwenye makaratasi wakati wewe na Hayati Magufuli ndio mliotembea nchi nzima kuinadi kwa hiyo tunataka ahadi zilizoko kwenye ilani ya Chama cha Mapinduzi.

Tofauti na hapo hatutakuelewa tutanyima kura 2025 kama ukitaka kuomba ridhaa ya kugombea tena.

Jitahidi sana kwenye suala la kodi usiwalaumu tu TRA waonye hata wafanyabiashara pia maana ni wakorofi.
 
Unaweza kumwambia kuwa kunavyokuwa na jam unaweza kulazimika kuchepuka
Wee ukianza kutongoza Mwanamke kumuoa unaanza kumshawishi kwa kutaja furaha za ndoa au changamoto?

Sasa hivi tuna changamoto kubwa ya kurudisha Uwekezaji na njia bora ni kuwaaminisha mazingira kuwa yameboreshwa sio kuanza kuwapa maangalizo
 
Chanjo hawaitaki karibia 75% ya watanzania

Tozo mpesa zinaanza kafungwa.

Bei ya mafuta kuna fukuto la kupandishwa nauli au migomo ya daladala.

Miundombinu ya serikali inaungua tu na masoko, Shule sasa miundombinu ya umeme.

Bei ya Mbolea imeanza kuwavuruga wakulima maana msimu wa kilimo unakaribia na serikali imeongeza kodi.

Kafungwa kwa Mbowe na Sabaya kumeigawa nchi.

Rais anawashangaza watu kuzunguka tu nje ya nchi kama Tiara yaani full kupishana angani.

Wezi wameshika mpini tena

Wananchi wanawashangaa watu walioikataa chanjo kuishupalia.

Hakika kitaa kumechafuka aliyekaribu na mama amwambie.

Kipindi kile tulimtuma Rizi leo tutamtuma nani? Anayemjua mtoto wa mama amfikishie ujumbe huu.
Siyo kwamba hatutaki chanjo bali chanjo bado muda muafaka wa kupatikana chanjo ya uhakika hivyo mbinu ya magufuli ilikuwa sahihi ni kuvuta subira ,kwa kuwa subira yetu ingetusaidia kujua na kupata chanjo sahihi ,maana hii ya sasa ni chanjo ya kijeshi lazima ule kiapo cha kufa na kupona
 
Huyu Mama hakuwahi kufaa kua Rais aa JMT.


Kwa wajanja wanaomzunguka, saizi ni kumshauri tu Mama Safiri...eehh sindo Rais wa Nchi banaa... Anajenga mahusiano.... Sijui Mulamula kazi yake nn

Huku wanabaki wanapigaaa.


Mimi Jiwe, nilimpinga kwenye Masuala ya haki za binadam, siasa .


Huyu Mama yenu, Tunapigwa kote kote, yaan Siasani tunapigwa, Serikani tunapigwa, wanyonge tunapigwa
Kwenya nyanja ya sexxx malamula lazima atakuwa yupo vizuri ujanani mwake maana ukimsikia anapo ongea ana chekacheka ovyo kicheko cha kitandani
 
  • Kicheko
Reactions: BRB
SIJAWAH KABISA KUAMINI UONGOZI CHINI YA MWANAMKE... SIJAWAHI KABISA.
Uongozi wa mwanamke ni upumbaavu mwingine mm hata wabunge wanawake sitaki ila kwa ujio wa huyu raisi itasaidia kuwafumbua hata wanawake wenyewe kuhusu ili la wanawake kuwa viongozi wa juu maana hadi sasa wanawake wameanza kuona ujinga wa mama kuongoza
 
Kama aliivyonena Mwanabodi Saint Ivuga ,

Kuhusiana na maswala kadha wa kadha kuhusiana na demokrasia na utawala wa sheria kwa awamu hii ya Sita. WANAHARAKATI WENGI NA WANASIASA walikuwa wakijaribu kumuasa Mama afanye kadha wa kadha wa kadha ama aaeche hili na lile. Mwanzoni ni kama alikuwa msikivu kwao lakini baada ya siku 100 za ubatizo hatimaye upepo ukabdili uelekeo na kuwapeleka mchakamchaka kwelikweli.

Kinachofuata ni kukimbiza malalamiko nje ya nchi na kweli tumeanzakuona wiki hii Jumuiya za kimataifaama wajumbe katika mikutano yao wakisema hili na lile kuhusuiana na hali ya Demokrasia, Haki za kukusanyika na utawala wa sheria kwa ujumla katika nchi hiyo. Taasisi hizo ni kama:
-Tume ya haki za binadamu na utawala bora Africa,
-Umoja wa Ulaya
-Canada kupitia Ubalozi wake
-USA
-Vyombo vya habari vya kimataifa kama Aljazeera, CNN ,BBC , N.K

Achilia hivyo hata hapo nchini Vyama vya siasa kama CUF, ACT , CDM; Kituo cha Haki zaBinadamu, Chama cha wanasheria (TLS),N.K nacyo vimekuwa vikipiga kelele hali hii.

Ukimya wa Mama na uimara anaounesha katika hili ni kipimo tosha kuwa wanaharakati na wanasiasa wasihadaike na upole, ukarimu au muonekano wake. Ni wakati sasa wa kufahamu kuwa Mama ameshajua ukubwa wa Power aliyonayo, ameshatambua nguvu ya kinga alizonazo so hasira, wivu ,adhabu na kuonya anaweza kuumia kuendana na Hulka yake. Si sahihi kusema labda anashawishiwa sana.

Tukikumbuka ukimya huu licha ya matamko ya jumuiya hizo , tunapata mrejeo wa kaka Meko alipoamua kufunga Masikio na kugawa dozi kwa wanaharakati kadha wa kadha wanaojaribu kupingana naye.

Ukimya wa Mama ni Dalili tosha kuwa ameshakomaa, Yupo Imara kama ama zaidi ya Mtangulizi wake. Ni wakati sasa ya wanaharakati hao kubadili Strategy kwani Mama amehsafikia Level ya Meko na anaelekea kuipita, She does not care Anymore
 
Back
Top Bottom