Yoda
JF-Expert Member
- Jul 22, 2018
- 36,563
- 44,220
Mataga ndio mtamkumbuka
Sisi yetu ni kusema'mtanikumbuka'
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sisi yetu ni kusema'mtanikumbuka'
Amekuwa mjane zaidi ya mjane vijarida bila ruzuku vinaenda fungiwa vitumbuaDuh pole mtoto wa marehemu !
Kwendraaaaaaaa una mwambia mleta mada atafute kazi wewe nani kakwambia hana kazi? Mmezoea lelelemama ndo maana mnamchukia jpmMtoa mada nikushauri kitu, tafuta kazi ufanye. Unamuhesabia mama wa watu hadi siku za kukaa ofisini dah. Tafuta kazi achana kufatilia maisha ya huyu mama, utapata ugonjwa wa sononi. Huna namna hata moja kumkwamisha huyu mama zaidi ya kujiongelesha humu JF kitu ambacho sidhani kinaweza badili chochote.
ana pambana sana maskin ya Mungu. haamini.Mleta mada unateseka ukiwa wapi?
Magufuli is dead and not coming back
Live with it!
Duu kweli mwanamke mwenye midomo myeusi kama ya kunguru huwa kichecheKwendraaaaaaaa una mwambia mleta mada atafute kazi wewe nani kakwambia hana kazi? Mmezoea lelelemama ndo maana mnamchukia jpm
Mmepoteza mwelekeo maana mliishi kwa mapambio na vigelegele...Safari imepwaya imejaa maigizo yanayoleta hofu ya safari yetu ya kujijengea heshima yetu
safari hii imekuwa ya kujishusha sisi yaani tunaonekana ni wakosaji hatuwez
Yule rubani wa kwanza alikuwa akitupa hamasa na nguvu ya kupambaba na kutuambia tunaweza
huyu rubani aliyefuata anatupa hofu tu anajipendekeza tu anatafuta sifa za kulazimisha ambazo hajazifanyia kazi
Basi mrudishe wa kwanza!Safari imepwaya imejaa maigizo yanayoleta hofu ya safari yetu ya kujijengea heshima yetu
safari hii imekuwa ya kujishusha sisi yaani tunaonekana ni wakosaji hatuwez
Yule rubani wa kwanza alikuwa akitupa hamasa na nguvu ya kupambaba na kutuambia tunaweza
huyu rubani aliyefuata anatupa hofu tu anajipendekeza tu anatafuta sifa za kulazimisha ambazo hajazifanyia kazi
Uliona hivyo,ujue mlela bandiko ni masalia ya mwendazakeMazezeta ndio wataomkubuka Shujaa wao wa Mazezeta
Nanyie nyumbu muwe na akili hata kidogo, wapi mleta mada alipomtaja huyo dead men.ana pambana sana maskin ya Mungu. haamini.
labda cha kumwambia ni kuwa dead men tell no tales