Zanzibar-ASP
JF-Expert Member
- Nov 28, 2013
- 10,129
- 35,141
Kuweka kumbukumbu sawa hapa JF.
-Utawala wa Magufuli haukuwa na utaratibu wa kutupa taarifa ya makusanyo ya kodi kila mwezi, ulitupa taarifa wakati uliojisikia, baada ya kukusanya (kudhulumu!) nyingi na kuhariri taarifa.
-Taarifa za makusanyo ya utawala wa Magufuli huenda yalikuwa ya kuchakachua kwa sababu uwiano wa makusanyo haukwenda sambamba na matumizi au ukuaji wa deni la taifa. Kiufupi takwimu za mapato na matumizi kipindi cha magufuli zilikuwa za kificho, uongo na ujanja ujanja mwingine sana.
-Utawala wa Magufuli haukuwa na utaratibu wa kutupa taarifa ya makusanyo ya kodi kila mwezi, ulitupa taarifa wakati uliojisikia, baada ya kukusanya (kudhulumu!) nyingi na kuhariri taarifa.
-Taarifa za makusanyo ya utawala wa Magufuli huenda yalikuwa ya kuchakachua kwa sababu uwiano wa makusanyo haukwenda sambamba na matumizi au ukuaji wa deni la taifa. Kiufupi takwimu za mapato na matumizi kipindi cha magufuli zilikuwa za kificho, uongo na ujanja ujanja mwingine sana.