Dah....Mama ameanza vibaya kiukweli...amekuwa na haraka sana...na taarabu nyingi....angekuwa hakuwepo kwenye utawala wa JPM ningemuelewa...
Nikionacho mbele....ni rushwa kurudi kwa kishindo kati ya wafanyabiashara na TRA....Kupungua kwa makusanyo ya Kodi....Serikali kuyumba kwenye misimamo.....taarabu nyingi....mwishowe turudi utumwani Misri...

Sent using Jamii Forums mobile app
Mpeni Muda Huyu Mama Wa Watu Hivi mnajua mateso watu wamepitia nchi hii??? Mnajua manyanyaso tuliyofanyiwa nyie?? Muacheni huyu mama...Nyie tulieni saiv.
 
Pole mkuu, tunajua uliumizwa sana

kutengeneza kwa siku 3million mara mzoga ukakufanya utengeneze elfu 3 kwa siku si mchezo

Kama ulikuwa clean, unaingiza kipato bila shida, wala hauna janja janja, JPM alipendeka

sasa hata unikasirikia,mzoga umelala na sina namna ya kukurudishia upate 3m kwa siku

Utakasirika mpaka unakufa, Mwamba ule mtausema kila siku mpaka kushtuka usingizini

Nikaumbie kitu?

Forever anabaki shujaa kwangu!!!

inauma hee ....jizabe kibao
Wai na gwajima mkamfufue,wenzio washaenda
 
Mama Samia achana na cheap popularity haitakusaidia lolote unatakiwa usiwe muongeaji sana maana naona unaanza kutoboa matundu ya hela wakati huo ukiwa umewekwa kwenye mtego mgumu na mzito sana wa ilani yenye kurasa 300 ya kutekeleza miradi yote iliyoko kwenye ilani.

Yaani kumbuka sasa hivi hauko kwenye meli mpya uko kwenye meli ileile sema tu imepata mawimbi katikati ya safari.

Mama nimekushangaa sana unaposema kuna miradi mingine iko kwenye makaratasi wakati wewe na Hayati Magufuli ndio mliotembea nchi nzima kuinadi kwa hiyo tunataka ahadi zilizoko kwenye ilani ya Chama cha Mapinduzi.

Tofauti na hapo hatutakuelewa tutanyima kura 2025 kama ukitaka kuomba ridhaa ya kugombea tena.

Jitahidi sana kwenye suala la kodi usiwalaumu tu TRA waonye hata wafanyabiashara pia maana ni wakorofi.
Sas a hivi Wafanyabiashara wengi hawatoi risiti za EFD wanatoa za makaratasi kwa kisingizio kwamba mashine ni mbovu. Samia endelea kuwatetea Wafanya biashara wa Bongo huku ukiwaponda TRA, utavuna mabua
 
Rais wetu ,mama Samia ,ulipofanya ziara huko Kenya ,nilitegemea kwamba utawashawishi wakenya waje wafanye uwekezaji.DFI.Ili tuweze kupata kodi,ajira na technology.

Hii ingetusaidia sana kusonga mbele,kwa kuwa tungepata mapato ya kodi,vijana wetu ambao hawana ajira wangepata ajira sasa.

Na ungewambia waje wajenge viwanda hapa Ili tupate technology. Nimeshituka na kushangazwa ,eti unasema unaondoa vibali vya ajira.Ina maana haujui hatuna ajira?Unataka waje huku waajiriwe,na sisi tuwe tunaangalia tu?Unapeleka gesi huko Kenya.Kwanini hukuwambia waje wajenge viwanda hapa Bongo Ili tufaidike .Kuwapelekea gesi ,je umeshafanya cost benefit analysis?

Kwamba wataendelea na viwanda huko kwao,huku hakuna.Tutajenga bomba.Tutatumia gharama.Kwann wasingekuja hapa kwetu?Wapatie gesi hapa kwetu na ajira kwa watu wetu .

Na kodi ingeingia nyingi.Nimeshituka na kusikitishwa sana.
 
Matanga....Daaah! Mbona Mother Kafanya kile inastaili... Mitanzania Akili ni Ndogo sana...Alichokifanya Madam President Ndio unakishauri, Tuliza Bongo please we're in the right direction under Mama's leadership.
 
Rais wetu ,mama Samia ,ulipofanya ziara huko Kenya ,nilitegemea kwamba utawashawishi wakenya waje wafanye uwekezaji.DFI.Ili tuweze kupata kodi,ajira na technology. Hii ingetusaidia sana kusonga mbele,kwa kuwa tungepata mapato ya kodi,vijana wetu ambao hawana ajira wangepata ajira sasa.Na ungewambia waje wajenge viwanda hapa Ili tupate technology. Nimeshituka na kushangazwa ,eti unasema unaondoa vibali vya ajira.Ina maana haujui hatuna ajira?Unataka waje huku waajiriwe,na sisi tuwe tunaangalia tu?Unapeleka gesi huko Kenya.Kwanini hukuwambia waje wajenge viwanda hapa Bongo Ili tufaidike .Kuwapelekea gesi ,je umeshafanya cost benefit analysis? Kwamba wataendelea na viwanda huko kwao,huku hakuna.Tutajenga bomba.Tutatumia gharama.Kwann wasingekuja hapa kwetu?Wapatie gesi hapa kwetu na ajira kwa watu wetu .Na kodi ingeingia nyingi.Nimeshituka na kusikitishwa sana.
Mmmm!!wapi alisema kuwa vibali vya kazi amefuta?uhuru yeye ndie amefuta vibali hivyo, kuhusu gesi, ina maana, wewe uganda na zambia wanakuuzia umeme, je wanafanya kosa?nyie pambaneni muwavutie wawekezaji waje wajenge viwanda, duniani kote kama una nishati ya kutosha lakini, lazima uwauzie majirani zako, wale walioko mbali zaidi ndio watakuja kujenga viwanda kwako, sasa kila anayetaka, umwambie eti aje kujenga kiwanda kwako?inaingia akilini hiyo?kwani kenya mbona anawauma sana wakuu?mtu aliyekuzidi , kimaendeleo , kumchukia hakukufanyi umzidi, cha msingi changa karata zako vizuri uone kupitia kwake unaweza inuka vipi, kwa hiyo huyo meko aliyekuwa anasema kuwa umeme huo wa bwawa la nyerere tutakuwa tunauuza nje , je walengwa walikuwa ni nchi gani?, ni majirani zetu au mtauuza CAPE VERDE?, CHINA, AUSTRALIA, mbali huko(hahaa)ili hata wakijenga viwanda ni mbali huko?!!
Kuhusu gharama za bomba hilo nadhani watakuwa wameshafanya tathimini zote, kwani hilo lilikuwa la muda mrefu tu, Meko ndio alikuwa kizingiti, yeye kila kitu anahisi kuibiwa tu, nadhani kwa kutumia bomba hilo pia linaweza kutumika kusambaza gesi kwenye viwanda vyetu vya hapa hapa nchini, kwa mikoa litakapopita kwenda kenya.Duniani kote kuuziana nishati ni jambo la kawaida sana, acheni akili za joka la mdimu"linakaa kwenye mti wa ndimu halili ndimu ila mtu akienda kuchuma ndimu halitaki"
 
Rais wetu ,mama Samia ,ulipofanya ziara huko Kenya ,nilitegemea kwamba utawashawishi wakenya waje wafanye uwekezaji.DFI.Ili tuweze kupata kodi,ajira na technology. Hii ingetusaidia sana kusonga mbele,kwa kuwa tungepata mapato ya kodi,vijana wetu ambao hawana ajira wangepata ajira sasa.Na ungewambia waje wajenge viwanda hapa Ili tupate technology. Nimeshituka na kushangazwa ,eti unasema unaondoa vibali vya ajira.Ina maana haujui hatuna ajira?Unataka waje huku waajiriwe,na sisi tuwe tunaangalia tu?Unapeleka gesi huko Kenya.Kwanini hukuwambia waje wajenge viwanda hapa Bongo Ili tufaidike .Kuwapelekea gesi ,je umeshafanya cost benefit analysis? Kwamba wataendelea na viwanda huko kwao,huku hakuna.Tutajenga bomba.Tutatumia gharama.Kwann wasingekuja hapa kwetu?Wapatie gesi hapa kwetu na ajira kwa watu wetu .Na kodi ingeingia nyingi.Nimeshituka na kusikitishwa sana.
Kama tumeshindwa kuleta tija tulipoaminiwa ,acha tujifunze kutoka kwa wenzetu huenda,akili zikatukaa sawa na kuacha uvivu na mchezo pindi tuwapo makazini.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom