Somoche
JF-Expert Member
- Oct 6, 2010
- 6,137
- 6,967
Mpeni Muda Huyu Mama Wa Watu Hivi mnajua mateso watu wamepitia nchi hii??? Mnajua manyanyaso tuliyofanyiwa nyie?? Muacheni huyu mama...Nyie tulieni saiv.Dah....Mama ameanza vibaya kiukweli...amekuwa na haraka sana...na taarabu nyingi....angekuwa hakuwepo kwenye utawala wa JPM ningemuelewa...
Nikionacho mbele....ni rushwa kurudi kwa kishindo kati ya wafanyabiashara na TRA....Kupungua kwa makusanyo ya Kodi....Serikali kuyumba kwenye misimamo.....taarabu nyingi....mwishowe turudi utumwani Misri...
Sent using Jamii Forums mobile app