twindad
Member
- Feb 12, 2020
- 10
- 23
✓Hakupandisha Mishahara wala madaraja kwa wafanyakazi _lakini kuna wafanyakazi watampa kura
✓Hakusaidia Wakulima pembejeo wala soko la mazao, kibaya akawadhulumu pesa zao za korosho na pamba_lakini kuna wakulima watampa kura
✓Ameongeza kodi pammoja na kufanya assessment mpya ya back taxes na hivyo kuwapa mzigo mzito wafanyabiashara uliopelekea biashara nyingi kufungwa_ lakini kuna wafabiashara watampa kura
✓Hakuhangaika na ajira ya vijana, vijana wengi waliomaliza vyuo toka 2015-2020 hawajapata ajira_lakini kuna baadhi ya vijana hawa watampa kura
✓Alipandisha riba ya mikopo ya elimu ya juu kutoka 9% hadi 15%, pia hakuongeza idadi ya wanafunzi vyuo vikuu kupata mikopo_kuna wanafunzi wapo vyuo na hawana mikopo watampa kura
✓Ameweka katazo mafao ya kujitoa, Leo hii ukiacha au fukuzwa kazi na una umri wa miaka 20 utasubiri hadi ufikishe miaka 60 kupata mafao_hapa napo kuna watakaompa kura
JE TATIZO NI UJINGA? JE TATIZO USHABIKI WA KIVYAMA? JE TATIZO NI ELIMU? JE NI MASILAHI BINAFSI ?
✓Hakusaidia Wakulima pembejeo wala soko la mazao, kibaya akawadhulumu pesa zao za korosho na pamba_lakini kuna wakulima watampa kura
✓Ameongeza kodi pammoja na kufanya assessment mpya ya back taxes na hivyo kuwapa mzigo mzito wafanyabiashara uliopelekea biashara nyingi kufungwa_ lakini kuna wafabiashara watampa kura
✓Hakuhangaika na ajira ya vijana, vijana wengi waliomaliza vyuo toka 2015-2020 hawajapata ajira_lakini kuna baadhi ya vijana hawa watampa kura
✓Alipandisha riba ya mikopo ya elimu ya juu kutoka 9% hadi 15%, pia hakuongeza idadi ya wanafunzi vyuo vikuu kupata mikopo_kuna wanafunzi wapo vyuo na hawana mikopo watampa kura
✓Ameweka katazo mafao ya kujitoa, Leo hii ukiacha au fukuzwa kazi na una umri wa miaka 20 utasubiri hadi ufikishe miaka 60 kupata mafao_hapa napo kuna watakaompa kura
JE TATIZO NI UJINGA? JE TATIZO USHABIKI WA KIVYAMA? JE TATIZO NI ELIMU? JE NI MASILAHI BINAFSI ?