The coolest jw
JF-Expert Member
- Dec 2, 2016
- 654
- 1,030
Alitoa ahadi ya milioni 50 kwa kila kijiji hilo hajatekeleza ni muongo na mchumia tumbo lake
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe na nani?Magufuli ni raisi mzalendo tutaenda kumchagua October
Kilichonishangaza ni yeye kuwa kimya kwenye mambo haya huku kila mara akijinadi kumtanguliza Mungu! Ben Saa nane, Gwanda, Lissu na wengineo. Angekuwa anamtanguliza Mungu kweli angekemea vikali vitendo hivi na kuagiza jeshi la polisi wasilale bila kuwatia nguvuni wahusika!Utekaji ni mfumo rasmi wa utawala wa awamu ya tano.
Atakemea vipi wakati vinamfurahisha?Kilichonishangaza ni yeye kuwa kimya kwenye mambo haya huku kila mara akijinadi kumtanguliza Mungu! Ben Saa nane, Gwanda, Lissu na wengineo. Angekuwa anamtanguliza Mungu kweli angekemea vikali vitendo hivi na kuagiza jeshi la polisi wasilale bila kuwatia nguvuni wahusika!
Hahaha MAGUGULI ni mgombea wa wapi?Maguguli ni raisi mzalendo tutaenda kumchagua October
Nimemuona juzi nikiwa kwenye mkutano wake Geita aisee jamaa anaumwa.Yah, afya ya mheshimiwa haiko sawa. Uso wake hauna nuru iliyozoeleka!
Siyo ya kitoto ni ya kishetaniAtakemea vipi wakati vinamfurahisha ?
Utawala wa awamu ya tano unamambo ya kitoto mengi sana
Hana sifa hata kidogo ya kurudi, ameonesha uwezo mdogo na hafifu
Ilikiwa lengo lake ili aogopwe.Hakustahili kuingia Ikulu 2015 hastahili kurudi Ikulu 2020. Mtu wa hovyo sana aliyejenga chuki ya kutisha miongoni mwa raia, pia kasababisha hofu kubwa kutokana na Watanzania kutekwa, kuteswa, kupotea na wengine kuuwawa. Anadharau raia, katiba, bunge na mahakama.
Yeye na mimi na Mama 😂😂😂😂😂Wewe na nani?
Uliwahi kujiuliza zile 1.5 Trilioni zilienda wapi?Magufuli ni raisi mzalendo tutaenda kumchagua October
Binafsi nadhani ana nia nzuri.
Lakini sidhani anajua anakoelekea.....
Yupo yupo tu.
HahahaYeye na mimi na Mama 😂😂😂😂😂
Hayo yote umesema vyema, lakini hujatwambia huko tulikokuwa tulikuwa kwenye utawala wa Chama gani waliofanya uzembe huo mpaka JPK kaja kututoa huko!
Watetezi wake mlivyowajinga mtatetea uhuni wake wa kubadili katiba.Atamaliza miaka yake mitano aondoke aje mwingine. Hatuhitaji nchi kufanywa ya familia kama baadhi ya nchi zilizotuzunguka.
Anafanya kazi nzuri saana ila hilo la kubaki milele asahau.