wapiiiiiiiiiiJamani mi niko serious, ninyi mnaleta siasa. Hii ni mada inayoweza kutusaidia na kumsaidia rais tukiondoa ushabiki
wapiiiiiiiiiiJamani mi niko serious, ninyi mnaleta siasa. Hii ni mada inayoweza kutusaidia na kumsaidia rais tukiondoa ushabiki
Ukuwasikia walimu wa Tanzania leo? Ni wewe tu na chadema yakoUko REA au BOT mwenzangu?
Mkuu, upo vizuri Sana katika 'fikira tunduizi '. Uzidi kubarikiwa. Nimefurahi leo.kama hujui unapokwenda... basi huwezi kupotea.
Mwalimu Nyerere aliwahi kusema, "Hatuwezi kuwa na Rais ambaye hatujui kesho ataamka amefikiria nini au ameshauriwa nini na mke wake". Kwa wakati ule kilionekana ni kijembe kwa mzee Mwinyi lakini leo kauli yake inaonyesha maana.
Hatujui mwelekeo wa nchi kiukweli, hatujui kesho atafukuzwa na nani au ziara ya Rais au Waziri Mkuu itakuwa wapi. Hatujui kama tutaamka tunafagia barabara au tutaingia ofisini kwetu kama kawaida.
Hatujui tunaanza na nini, kujenga viwanda au kuboresha miundombinu na kuimarisha kilimo ili tupate malighafi.
Hatujui tatizo la sukari kwa mfano linaondoka kwa kurekebisha viwanda vyetu na kuongeza uzalishaji wa miwa au kuruhusu sukari ya nje au tuvamie magodauni ya watu.
Ukimuangalia usoni na ukasikia anachotamka unakiri ana nia kabisa ya kututoa hapa. Swali ni je, anajua jinsi ya kututoa?! Anajua anakotupeleka?
Nimejitahidi kuangalia Bunge ili nione labda Mawaziri wake wanaweza kuonyesha mwelekeo, huko nikachanganyikiwa zaidi.
Mwanamtandao mmoja alisema unaweza kuwa na dereva mzuri anayefuata sheria zote za barabarani lakini hajui anaenda wapi!
Acha tuendelee kuwa kwenye chombo cha uthubutu tunaamini tutafika nae kama utaona umepotea njia rudi sisi tupo njia kuu tunasongambeleJune 2020, still relevant!
Ahaaa ,uchumi ambao ajira zimeota mbawa, hela imetoweka ,na ukata umetamalaki, kw umasikini kuongezeka?Katupeleka kwenye uchumi wa kati.
Upi?Katupeleka Uchumi wa kati
Fafanua kidogo...huelewekiSasa Tanzania iko grad ya Uchumi wakati bado hujafumbuliwa Mh JPM anatupeleka wapi?
Labda ludisha mkanda nyuma zilejee kumbukumbu kwa usahihi utaiona njia tunayoindea
True mkuu, wanaangalia uchumi wa nchi tu, wakati raia hali ni mbaya huku mtaani kwa ujumlaNawaomba muisikilize kwa umakini hii video.
Tanzania tunajigamba kuongeza kipato kwa kuongezeka kwa pato la nchi na kupanda GDP ,lakiniukija kwa watu wa kawaida ,umasikini unazidi kuwaelemea.
jibu lipo hapa.
Acha kukopa sana ili uondokane na madeni makubwa baki na uchumi unaolingana na msuli wako ''better late than never'' uharaka wa kuingia uchumi wa kati utatupasua msamba kwa kuwaridhisha Wazungu na Mabeberu wa IMF huku raia wako wanaangamia.