Anayejua Rais Magufuli anatupeleka wapi atuambie, naona kama tumepotea

Status
Not open for further replies.
Kafanye kazi mkuu, Hakuna siku maisha yatakuonea huruma binadamu. Hakuna mtu au kikundi Cha watu kitakuwa mkombozi wa maisha yako .. Mkombozi wa maisha yako Ni wewe mwenyewe .. Haijawahi na haitatokea maisha kuwa rahisi ..
Daaah ila kweli
 
Mwalimu Nyerere aliwahi kusema, "Hatuwezi kuwa na Rais ambaye hatujui kesho ataamka amefikiria nini au ameshauriwa nini na mke wake". Kwa wakati ule kilionekana ni kijembe kwa mzee Mwinyi lakini leo kauli yake inaonyesha maana.

Hatujui mwelekeo wa nchi kiukweli, hatujui kesho atafukuzwa na nani au ziara ya Rais au Waziri Mkuu itakuwa wapi. Hatujui kama tutaamka tunafagia barabara au tutaingia ofisini kwetu kama kawaida.

Hatujui tunaanza na nini, kujenga viwanda au kuboresha miundombinu na kuimarisha kilimo ili tupate malighafi.

Hatujui tatizo la sukari kwa mfano linaondoka kwa kurekebisha viwanda vyetu na kuongeza uzalishaji wa miwa au kuruhusu sukari ya nje au tuvamie magodauni ya watu.

Ukimuangalia usoni na ukasikia anachotamka unakiri ana nia kabisa ya kututoa hapa. Swali ni je, anajua jinsi ya kututoa?! Anajua anakotupeleka?

Nimejitahidi kuangalia Bunge ili nione labda Mawaziri wake wanaweza kuonyesha mwelekeo, huko nikachanganyikiwa zaidi.

Mwanamtandao mmoja alisema unaweza kuwa na dereva mzuri anayefuata sheria zote za barabarani lakini hajui anaenda wapi!

Narudia. WEWE mtu una maono. Mungu Jehovah na atusaidie nchi hii.
 
Tatizo mnasumbuliwa na mahaba ya kumpenda mtu badala ya kuutambua ukweli, Tanzania unasema imetulia?
Kwa hiyo unataka kusema hakuna rushwa Tanzania sasa hivi?
Mikononi mwa Magufuli Tanzania inanuka shida kuliko wakati wowote ule
hata ww unasumbuliwa na hayo hayo mahaba
 
THE HISTORICAL TREND OF TANZANIA SHILLING VS USD
1966-1972) 1USD = 5 TZS,
1973-1975) 1 USD =7 TZS,
1976 - 1 USD =12 TZS
1977 - 1 USD =12 TZS
1978-82 - 1 USD = 20TZS
1983 - 1 USD = 22 TZS
1984 - 1 USD = 23TZS
1985 - 1 USD = 102 TZS
1986 - 1 USD = 205 TZS
1987 - 1 USD = 207 TZS
1988 - 1 USD = 220 TZS
1989 - 1 USD = 226 TZS 1990 - 1 USD = 265 TZS
1991 - 1 USD = 300 TZS
1992 - 1 USD = 385 TZS 1993 - 1 USD = 434 TZS
1994 - 1 USD = 465 TZS
1995 - 1 USD = 500 TZS
1996 - 1 USD = 580 TZS
1997 - 1 USD = 665 TZS
1998 - 1 USD = 720 TZS
1999 - 1 USD = 800 TZS
2000 - 1 USD = 820 TZS
2001 - 1 USD = 880 TZS
2002 - 1 USD = 900 TZS
2003 - 1 USD = 900 TZS
2004 - 1 USD = 910 TZS
2005 - 1 USD = 1050 TZS
2006 - 1 USD = 1100 TZS
2007 - 1 USD = 1150 TZS
2008 - 1 USD = 1200 TZS
2009 - 1 USD = 1250 TZS
2010 - 1 USD = 1260 TZS
2011 - 1 USD = 1300 TZS
2012 - 1 USD =1450 TZS
2013 - 1 USD =1620 TZS
2014 - 1USD = 1650 TZS
2015 - 1USD = 2000 TZS
2016 - 1 USD = 2200 TZS
2019 - 1 USD = 2300 TZS

Mpaka atakapoishiwa nguvu huyu anaye "JIMWAMBAFAI
' aliyesema "hakuna wa kujenga madaraja, barabara wala viwanja na SGR Dola itakuwa imefikia 10000/-
Huyu ni onmipotent, omnicient, anajua kila kitu, akiuliza swali kabla hujajibu ushanyanganywa passport, akikagua korosho anaagiza wajeshi wazibebe, wanunue, kumbe ni kujimwambafy tu, zi wapi korosho, wapi samaki, wapi uchumi.


kujichetua ndio kunatufikisha hapa huku "praise team" wakifikiri wapinzani pekee ndio wanaumia , kumbe wao ndio wa kwanza.
 
Kikwete alikuwa mtu wa watu, mpenda Amani, Ila kwenye utendaji ni zero kabisa ukweli lazma tuseme tuu, na asingekuwa na wazir wa ujenzi mbishi kama JPM sjui hata angejivunia kwa lipi labda kuinua mashirika ya upigaji kama NHC, na mifuko ya jamii n.k, na ni katika kipind cha Kikwete elimu iligeuka kuwa ya kuunga unga Sana na isiyo na thaman, nchi ilikuwa kama haina kiongozi Kwa kweli
.....kuna kpind alimpa Sjui chenge kuwa wazir wa Ujenzi jamaa alipiga karibia hela zote za miradi , na iliyotekelezeka ilikuwa substandard...af mwambafy Kikwete anacheka Cheka tuu

Kwa upande wa JPM kwenye social activities ni zero kabisa, complicator af mbabe Sana mixer na Dharau, exposure ndogo ila kwenye utendaji kazi jamaa hakunaga, miaka michache hii amepiga parefu sana, still Kura yangu nampa 2020 ,
 
Hizi data si kweli hadi 2013 tulikuwa na exchange rate ya 2000+
THE HISTORICAL TREND OF TANZANIA SHILLING VS USD
1966-1972) 1USD = 5 TZS,
1973-1975) 1 USD =7 TZS,
1976 - 1 USD =12 TZS
1977 - 1 USD =12 TZS
1978-82 - 1 USD = 20TZS
1983 - 1 USD = 22 TZS
1984 - 1 USD = 23TZS
1985 - 1 USD = 102 TZS
1986 - 1 USD = 205 TZS
1987 - 1 USD = 207 TZS
1988 - 1 USD = 220 TZS
1989 - 1 USD = 226 TZS 1990 - 1 USD = 265 TZS
1991 - 1 USD = 300 TZS
1992 - 1 USD = 385 TZS 1993 - 1 USD = 434 TZS
1994 - 1 USD = 465 TZS
1995 - 1 USD = 500 TZS
1996 - 1 USD = 580 TZS
1997 - 1 USD = 665 TZS
1998 - 1 USD = 720 TZS
1999 - 1 USD = 800 TZS
2000 - 1 USD = 820 TZS
2001 - 1 USD = 880 TZS
2002 - 1 USD = 900 TZS
2003 - 1 USD = 900 TZS
2004 - 1 USD = 910 TZS
2005 - 1 USD = 1050 TZS
2006 - 1 USD = 1100 TZS
2007 - 1 USD = 1150 TZS
2008 - 1 USD = 1200 TZS
2009 - 1 USD = 1250 TZS
2010 - 1 USD = 1260 TZS
2011 - 1 USD = 1300 TZS
2012 - 1 USD =1450 TZS
2013 - 1 USD =1620 TZS
2014 - 1USD = 1650 TZS
2015 - 1USD = 2210TZS
2016 - 1 USD = 2200TZS
2019 - 1 USD = 2300TZS

Mpaka atakapoishiwa nguvu huyu anaye "JIMWAMBAFAI
' aliyesema "hakuna wa kujenga madaraja, barabara wala viwanja na SGR Dola itakuwa imefikia 10000/-
Huyu ni onmipotent, omnicient, anajua kila kitu, akiuliza swali kabla hujajibu ushanyanganywa passport, akikagua korosho anaagiza wajeshi wazibebe, wanunue, kumbe ni kujimwambafy tu, zi wapi korosho, wapi samaki, wapi uchumi.


kujichetua ndio kunatufikisha hapa huku "praise team" wakifikiri wapinzani pekee ndio wanaumia , kumbe wao ndio wa kwanza.
 
Unaeleza historia ya shilingi na kuporomoka kwake au unaeleza mapungufu ya utawala wa Magu!?

Maana kama ni kulinganisha utawala na kuporomoka kwa shilingi, basi Kikwete alaumiwe zaidi.

Kwa mujibu wa jedwali lako, miaka minne ya Magu ( 2015 - 2019) imeporomoka kwa sh. 90 tu, wakati Kikwete miaka yake mitano ya kipindi cha pili (2010 - 2015) jionee mwenyewe iliporomoka kwa kiasi gani.
 
Chuki dhidi ya Magufuli zinawatesa
Unaeleza historia ya shilingi na kuporomoka kwake au unaeleza mapungufu ya utawala wa Magu!?

Maana kama ni kulinganisha utawala na kuporomoka kwa shilingi, basi Kikwete alaumiwe zaidi.

Kwa mujibu wa jedwali lako, miaka minne ya Magu ( 2015 - 2019) imeporomoka kwa sh. 90 tu, wakati Kikwete miaka yake mitano ya kipindi cha pili (2010 - 2015) jionee mwenyewe iliporomoka kwa kiasi gani.
 
Kiukweli kwa takwimu hizi ulizoleta mleta Uzi zinathibitisha Pasi na shaka kwamba Tshs. Inafanya vizuri kwa kipindi hiki cha miaka minne ya mh. JPM kuliko miaka minne ya kwanza ya watangulizi wake. Hebu jaribu kupitia kwa makini utagundua hilo. Kipindi kasi ya kuporomoka kwa tshs ni ndogo kulinganisha na kipindi kilichopita.
 
Status
Not open for further replies.
185 Reactions
Reply
Back
Top Bottom