lwidia2k
JF-Expert Member
- Aug 24, 2018
- 616
- 1,266
Daaah ila kweliKafanye kazi mkuu, Hakuna siku maisha yatakuonea huruma binadamu. Hakuna mtu au kikundi Cha watu kitakuwa mkombozi wa maisha yako .. Mkombozi wa maisha yako Ni wewe mwenyewe .. Haijawahi na haitatokea maisha kuwa rahisi ..