Anayejua Rais Magufuli anatupeleka wapi atuambie, naona kama tumepotea

Status
Not open for further replies.
😆😆😆 Siyo miwili tena , ishakuwa 6 sasa !
Huyu mzee ametuvuruga sana watumishi wa umma! Yaani kwa sasa wengi wanaishi kwa salary advance! Maana hali ni tete. Mshahara hautoshi kiasi cha kusikitisha!

Bora hata na yeye angepumulia mtungi wa gesi hata mwezi tu kama yule msaidizi wake! ili ukaidi, ubinafsi, ukatili, uonevu dhidi ya wengine na majivuno yake yapungue kidogo.
 
Huyu mzee ametuvuruga sana watumishi wa umma! Yaani kwa sasa wengi wanaishi kwa salary advance! Maana hali ni tete. Mshahara hautoshi kiasi cha kusikitisha!

Bora hata na yeye angepumulia mtungi wa gesi hata mwezi tu kama yule msaidizi wake! ili ukaidi, ubinafsi, ukatili, uonevu dhidi ya wengine na majivuno yake yapungue kidogo.
Mitano tena.
 
Kwanza nikupongeze sana mleta uzi huu, uzi huu umesimama mda mrefu sana, takribani miaka mitano kasoro pili Hongera kwa swali lao, Binafsi nilitaka nivute subira ili nipate jibu la swali lako, sasa ni mda mwafaka sana wa kulijibu.
Je Magufuli ametupeleka wapi???
1. Magufuli ametupeleka kwenye nchi isiyo heshimu sheria, kanuni na tamaduni zetu kama watanzania.
2. Ametuhakikishia kuwa ili upate maendeleo ni lazima uchague kiongozi wa ccm. Refer kauli za Connection wakati wa uchaguzi Mkuu wa 2020.
3. Magufuli ametuelekeza kuwa sehem ya mhimu na ya kuijali sana ni nyumbani kwenu/ sehemu unapotoka.
4. Ametufundisha kuwa mbele ya cheo au madaraka basi elimu au ufahamu wa mambo si lolote si chochote.
5. Ametusisitizia kuwa ukiwa mwanachama wa chama cha upinzani basi wewe ni mtanzania daraja la pili. Na ukiwa mwana ccm basi wewe una haki zote
6. Amejitangaza kwamba serikali yake inataka kodi ilipwe lakini haijlai biashara ngapi zinafungwa
7. Yeye akiwa Amiri jeshi mkuu, ataondoka madarakani akiwa na record ya hovyo sana, mtu aliye jaa kiburi, majivuno, mjuaji, asiyependa kukosolewa, anaye ratibu na kusimamia raia wake kuumizwa.

Kwa sasa tuishie hapa, Akimaliza miaka yake kama akiondoka madarakani tutaongezea nyama.
 
Kwanza nikupongeze sana mleta uzi huu, uzi huu umesimama mda mrefu sana, takribani miaka mitano kasoro pili Hongera kwa swali lao, Binafsi nilitaka nivute subira ili nipate jibu la swali lako, sasa ni mda mwafaka sana wa kulijibu.
Je Magufuli ametupeleka wapi???
1. Magufuli ametupeleka kwenye nchi isiyo heshimu sheria, kanuni na tamaduni zetu kama watanzania.
2. Ametuhakikishia kuwa ili upate maendeleo ni lazima uchague kiongozi wa ccm. Refer kauli za Connection wakati wa uchaguzi Mkuu wa 2020.
3. Magufuli ametuelekeza kuwa sehem ya mhimu na ya kuijali sana ni nyumbani kwenu/ sehemu unapotoka.
4. Ametufundisha kuwa mbele ya cheo au madaraka basi elimu au ufahamu wa mambo si lolote si chochote.
5. Ametusisitizia kuwa ukiwa mwanachama wa chama cha upinzani basi wewe ni mtanzania daraja la pili. Na ukiwa mwana ccm basi wewe una haki zote
6. Amejitangaza kwamba serikali yake inataka kodi ilipwe lakini haijlai biashara ngapi zinafungwa
7. Yeye akiwa Amiri jeshi mkuu, ataondoka madarakani akiwa na record ya hovyo sana, mtu aliye jaa kiburi, majivuno, mjuaji, asiyependa kukosolewa, anaye ratibu na kusimamia raia wake kuumizwa.

Kwa sasa tuishie hapa, Akimaliza miaka yake kama akiondoka madarakani tutaongezea nyama.
Eee bhana eeee!!
 
Kwanza nikupongeze sana mleta uzi huu, uzi huu umesimama mda mrefu sana, takribani miaka mitano kasoro pili Hongera kwa swali lao, Binafsi nilitaka nivute subira ili nipate jibu la swali lako, sasa ni mda mwafaka sana wa kulijibu.
Je Magufuli ametupeleka wapi???
1. Magufuli ametupeleka kwenye nchi isiyo heshimu sheria, kanuni na tamaduni zetu kama watanzania.
2. Ametuhakikishia kuwa ili upate maendeleo ni lazima uchague kiongozi wa ccm. Refer kauli za Connection wakati wa uchaguzi Mkuu wa 2020.
3. Magufuli ametuelekeza kuwa sehem ya mhimu na ya kuijali sana ni nyumbani kwenu/ sehemu unapotoka.
4. Ametufundisha kuwa mbele ya cheo au madaraka basi elimu au ufahamu wa mambo si lolote si chochote.
5. Ametusisitizia kuwa ukiwa mwanachama wa chama cha upinzani basi wewe ni mtanzania daraja la pili. Na ukiwa mwana ccm basi wewe una haki zote
6. Amejitangaza kwamba serikali yake inataka kodi ilipwe lakini haijlai biashara ngapi zinafungwa
7. Yeye akiwa Amiri jeshi mkuu, ataondoka madarakani akiwa na record ya hovyo sana, mtu aliye jaa kiburi, majivuno, mjuaji, asiyependa kukosolewa, anaye ratibu na kusimamia raia wake kuumizwa.

Kwa sasa tuishie hapa, Akimaliza miaka yake kama akiondoka madarakani tutaongezea nyama.
Mama Samia kaachiwa mzigo mkubwa sana kusawazisha haya yote
 
Huku tukiomboleza kifo cha aliyekuwa Rais wa JMT, hayati John P. Magufuli (R.I.P.) mimi naona utawala wake na matendo yake vilikuwa na pande 2 - ambazo kwa sehemu kubwa alishindwa kupata right balance.

1. Akipatia jambo jema basi analipatia kweli kweli.

2. Akikosea jambo basi anakosea kisawa sawa

Yaani alikuwa anaishi na kufanya kazi zake zake za Urais kwenye TWO (opposite) EXTREMES (bila kujua). He was either hot or cold, nothing in the middle!
Kwa mfano: Hayati Magufuli aliamini sana katika vitu kuliko watu, aliamini katika individualism kuliko katika plurality. Ndio maana alijenge vitu kama reli, bandari, zahanati nk lakini hakuendeleza sana ubora wa elimu/mafunzo, vifaa au motisha (na mazingira). Aliamini kuwa kiongozi mmoja shupavu, jasiri, mwenye uzalendo ni muarobaini wa matatizo mtambuka ya nchi yetu. Alisahau kuwa kama binadam na kiongozi anapita tu, lakini alijikita na kuamini katika kuweka alama zaidi ya yote.

Alikuwa jasiri sana katika maamuzi na matendo yake, lakini pia alikuwa dhaifu katika kuongea/kutoa hotuba.

Hivyo basi ni rahisi kubaini nguvu na madhaifu yake, pia mema na mabaya yake. Tuchambue mema yake na tuyaendeleze lakini mabaya yake tuyaache yote.
 
Teresa
Boaz
James
Gimenez cartel
Guero
Epifanio Vargas
Camilla Vargas
Isabella
Pote
Cortez
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom