Synthesizer
JF-Expert Member
- Feb 15, 2010
- 11,143
- 18,774
Nilitegemea baada ya miaka mitano ya uraisi wa Magufuli suala la ajira kwa graduates lingekuwa much better kuliko kipindi cha Kikwete. Naona kama mambo yamekuwa magumu zaidi.
Nilitegemea baada ya miaka mitano ya uraisi wa Magufuli suala la ajira kwa graduates lingekuwa much better kuliko kipindi cha Kikwete. Naona kama mambo yamekuwa magumu zaidi.
Kuna mtu wa jikoni aliniambia hakuna kipindi serikali inakuwa inaishiwa kama kipindi cha awamu hii. Nikauliza, kama serikali inajisifia kukusanya fedha kuliko vipindi vilivyopita, kwa nini serikali iwe inafilisika na kukosa fedha kuliko awamu zilizopita? Akaniambia mipango mibovu ya matumizi ya fedha za serikali inayoamuliwa na mtu mmoja. Sikutaka kuuliza tena.Tuvumilie kunakaribia kupambazuka
No need to disclose his/her identity. But yuko right 100%.Kuna mtu wa jikoni aliniambia hakuna kipindi serikali inakuwa inaishiwa kama kipindi cha awamu hii. Nikauliza, kama serikali inajisifia kukusanya fedha kuliko vipindi vilivyopita, kwa nini serikali iwe inafilisika na kukosa fedha kuliko awamu zilizopita? Akaniambia mipango mibovu ya matumizi ya fedha za serikali inayoamuliwa na mtu mmoja. Sikutaka kuuliza tena.
Kuna mtu wa jikoni aliniambia hakuna kipindi serikali inakuwa inaishiwa kama kipindi cha awamu hii. Nikauliza, kama serikali inajisifia kukusanya fedha kuliko vipindi vilivyopita, kwa nini serikali iwe inafilisika na kukosa fedha kuliko awamu zilizopita? Akaniambia mipango mibovu ya matumizi ya fedha za serikali inayoamuliwa na mtu mmoja. Sikutaka kuuliza tena.
Ukienderea kuuliza unaweza kujikuta unaumwa corona.Kuna mtu wa jikoni aliniambia hakuna kipindi serikali inakuwa inaishiwa kama kipindi cha awamu hii. Nikauliza, kama serikali inajisifia kukusanya fedha kuliko vipindi vilivyopita, kwa nini serikali iwe inafilisika na kukosa fedha kuliko awamu zilizopita? Akaniambia mipango mibovu ya matumizi ya fedha za serikali inayoamuliwa na mtu mmoja. Sikutaka kuuliza tena.
Kyela biashara ya mchele imekufa baada ya kukosekana wanunuzi, mavuno ya miaka 2 iliyopita yamejazana kwenye maghala yakiozeana, mwezi wa 6 tunavuna tena.Yakiwa magumu kiasi cha kutosha, tutaingia mabarabarani bila kuambiwa na mtu yoyote yule.
Taratibu tutaanza kuwaza kuandamana kumtaka atupishe.Hiv inakuaje mtu mmoja tu ndio aamue mustakabali wa wat zaid ya mil 50.Yan akisema yy ndio bsi !! Huu mbona ni upumbavu wa hali ya juu sana tunaukalia kimya?
Hivi sasa hata kama unauza kiwanja kupata mteja ni kazi ya ziada.Kyela biashara ya mchele imekufa baada ya kukosekana wanunuzi , mavuno ya miaka 2 iliyopita yamejazana kwenye maghala yakiozeana , mwezi wa 6 tunavuna tena
Nchi imerudi enzi za zama za mawe.Hivi sasa hata kama unauza kiwanja kupata mteja ni kazi ya ziada.
Ni kwa ajili ya kizazi kijacho, hata wachina na wamerikani wanaofurahia maendeleo ni sababu kuna kizazi kilijitolea.Nadhani Watanzania wengi walikuwa na matarajio makubwa sana Magufuli alipochaguliwa kuwa raisi, kwamba atazuia ufisadi, kusimia kuwajibika na maisha yatakuwa bora sana zaidi ya viongozi waliopita. Hata tukatangaziwa elimu bure na kujua ndio mwanzo wa neema za uraisi wa Magufuli.
Lakini sasa najiuliza sana, mbona maisha bado ni magumu sana na tuko mwaka wa sita wa uraisi wa Magufuli? Hizo neema za uraisi wa Magufuli tutafaidika nazo lini, mwaka wake wa mwisho wa uraisi? Maana kimsingi bado miaka kama minne tu raisi Magufuli aondoke. Nadhani kila mtu atakubali katika hiii miaka sita ya Magufuli maisha ni magumu sana kuliko ilivyokuwa kipindi cha Kikwete kwa kila Mtanzania. Sasa ni nini hasa ambacho tunaweza kusema uraisi wa Magufuli umetufaidisha sana wanananchi? Flyovers, Dreamliners, SGR?
Hivi kama sisi watu wa mjini, tulioajiriwa, wafanya biashara nk, tulalalamika maisha ni magumu sana, huko vijijini hali yao ikoje? Hao wanyonge wanaotakiwa kufaidika kipindi cha uongozi wa Magufuli ni kina nani na watafaidika lini?
Au itabidi tubadilishe Katiba ili aendelee kuwa raisi na tupate matunda ya uraisi wake miaka 20 ijayo, kama Corona haijatumaliza?
Sio kwa style ya hovyo kama hii ambapo mtu mmoja anatumia mamilioni/!mabilioni ya fedha za umma kuendeleza kijiji anachotoka.Ni kwa ajili ya kizazi kijacho, hata wachina na wamerikani wanaofurahia maendeleo ni sababu kuna kizazi kilijitolea