Anayejua Rais Magufuli anatupeleka wapi atuambie, naona kama tumepotea

Status
Not open for further replies.
Kuhusu mishahara nasema wazi kabisa kuwa mishahara ya watumishi sio tu wa Mahakama, watumishi wote mishahara yao haitoshi, hata mimi wangu haunitoshi kabisa, lakini tujenge Nchi”- JPM
 
Ina maana hii serikali ni bora kuliko kuliko awamu zote nne zilizopita?

Nyerere pamoja na kugombana na Serikali ya Makaburu wa South Africa waliokuwa wakiungwa mkono na Marekani pamoja na Uingereza lakini hakuwahi kunyoshewa kidole na jumuiya za kimataifa wala Marekani yenyewe.

Alikuwa Rais mwenye hekima kubwa, alitanguliza maslahi ya taifa lake mbele na siyo Chama.
Nyerere hakuwa mwana CCM, bali alikuwa mtanzania, kuna tofauti kubwa Kati ya kuwa mwana CCM au mwana CHADEMA na kuwa mwana Taifa (mzalendo ) .

Watu wenye uelewa mdogo hudhani kupenda vyama na kusifia viongozi wao ndo Uzalendo.

Vyama vyote vya siasa ni Taasisi za kupita tu, na hata viongozi nao wanapita tu, lakini Taifa lipo daima.

Kuna Chama kikubwa Tanzania kina wanachama wengi mambumbumbu kupindukia, yaani wapo wapo tu bora siku zinaenda, vichwa ni zero brain kabisa, hawana strategies zozote za kimaisha zaidi ya kusifia Chama chao na viongozi wao .

Hawa watu baadhi yao wamemaliza mamilioni ya Pesa bila ya kumiliki mradi hata mdogo tu, kuna mmoja alimaliza mil 76 sasa hivi anatafuta kazi hata ya sh laki 5 kwa mwezi.

Back to the point!



Kwanini iwe awamu ya Tano wapinzani wapigwe risasi na wengine kutoweka?

Halafu baada ya kukemewa na Taifa kubwa mseme nyie ni nchi huru, kwa hiyo Kama ni nchi huru mna Uhuru wa kuua na kutesa watu hovyo si ndiyo?

Serikali zote nne zilizopita hazijawahi kuwa na uhusiano mbaya na mataifa ya magharibi Kama hii awamu.

Kubambika Kesi wakosoaji wa serikali hakuifanyi Tanzania kutajirika.

Magufuli hana jipya la kuwaeleza watanzania labda wale 80% ya wasindikizaji ktk kundi la intellectuals.
Ni aibu kubwa mno kundi la watu linalosifia kila kitu, utadhani hii awamu ya Tano inaongozwa na Mungu.
Nimekumbuka maneno ya Mwalimu wangu wa Saikoloji .

"A person whose wit is faded prefers being exalted every time, when you try to get him right over any wrongdoing, he'll pick stones and chasten you ".
 
Marekani akishakiwekan kwenye kirengeo chao ujue umeshakwisha...utaendelea kuimba weee kwamba wewe ni Taifa huru huku ukishughulikiwa mdogo mdogo!! Tena wale wana uwezo wa kukushugulikia as a person.
 
Ina maana hii serikali ni bora kuliko kuliko awamu zote nne zilizopita?

Nyerere pamoja na kugombana na Serikali ya Makaburu wa South Africa waliokuwa wakiungwa mkono na Marekani pamoja na Uingereza lakini hakuwahi kunyoshewa kidole na jumuiya za kimataifa wala Marekani yenyewe.

Alikuwa Rais mwenye hekima kubwa, alitanguliza maslahi ya taifa lake mbele na siyo Chama.
Nyerere hakuwa mwana CCM, bali alikuwa mtanzania, kuna tofauti kubwa Kati ya kuwa mwana CCM au mwana CHADEMA na kuwa mwana Taifa (mzalendo ) .

Watu wenye uelewa mdogo hudhani kupenda vyama na kusifia viongozi wao ndo Uzalendo.

Vyama vyote vya siasa ni Taasisi za kupita tu, na hata viongozi nao wanapita tu, lakini Taifa lipo daima.

Kuna Chama kikubwa Tanzania kina wanachama wengi mambumbumbu kupindukia, yaani wapo wapo tu bora siku zinaenda, vichwa ni zero brain kabisa, hawana strategies zozote za kimaisha zaidi ya kusifia Chama chao na viongozi wao .

Hawa watu baadhi yao wamemaliza mamilioni ya Pesa bila ya kumiliki mradi hata mdogo tu, kuna mmoja alimaliza mil 76 sasa hivi anatafuta kazi hata ya sh laki 5 kwa mwezi.

Back to the point!



Kwanini iwe awamu ya Tano wapinzani wapigwe risasi na wengine kutoweka?

Halafu baada ya kukemewa na Taifa kubwa mseme nyie ni nchi huru, kwa hiyo Kama ni nchi huru mna Uhuru wa kuua na kutesa watu hovyo si ndiyo?

Serikali zote nne zilizopita hazijawahi kuwa na uhusiano mbaya na mataifa ya magharibi Kama hii awamu.

Kubambika Kesi wakosoaji wa serikali hakuifanyi Tanzania kutajirika.

Magufuli hana jipya la kuwaeleza watanzania labda wale 80% ya wasindikizaji ktk kundi la intellectuals.
Ni aibu kubwa mno kundi la watu linalosifia kila kitu, utadhani hii awamu ya Tano inaongozwa na Mungu.
Nimekumbuka maneno ya Mwalimu wangu wa Saikoloji .

"A person whose wit is faded prefers being exalted every time, when you try to get him right over any wrongdoing, he'll pick stones and chasten you ".
There this proverb 'if you do not know where you're going any road will take you there' the answer is they do not know where they are going

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna Chama kikubwa Tanzania kina wanachama wengi mambumbumbu kupindukia, yaani wapo wapo tu bora siku zinaenda, vichwa ni zero brain kabisa, hawana strategies zozote za kimaisha zaidi ya kusifia Chama chao na viongozi wao .
Watu wanajitoa ufahamu bila aibu, unaweza dhani hawapo timamu kichwani.
 
Mungu wabariki mabeberu

Sent using Jamii Forums mobile app
Sawa mkuu!
tapatalk_1580751253337.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ina maana hii serikali ni bora kuliko kuliko awamu zote nne zilizopita?

Nyerere pamoja na kugombana na Serikali ya Makaburu wa South Africa waliokuwa wakiungwa mkono na Marekani pamoja na Uingereza lakini hakuwahi kunyoshewa kidole na jumuiya za kimataifa wala Marekani yenyewe.

Alikuwa Rais mwenye hekima kubwa, alitanguliza maslahi ya taifa lake mbele na siyo Chama.
Nyerere hakuwa mwana CCM, bali alikuwa mtanzania, kuna tofauti kubwa Kati ya kuwa mwana CCM au mwana CHADEMA na kuwa mwana Taifa (mzalendo ) .

Watu wenye uelewa mdogo hudhani kupenda vyama na kusifia viongozi wao ndo Uzalendo.

Vyama vyote vya siasa ni Taasisi za kupita tu, na hata viongozi nao wanapita tu, lakini Taifa lipo daima.

Kuna Chama kikubwa Tanzania kina wanachama wengi mambumbumbu kupindukia, yaani wapo wapo tu bora siku zinaenda, vichwa ni zero brain kabisa, hawana strategies zozote za kimaisha zaidi ya kusifia Chama chao na viongozi wao .

Hawa watu baadhi yao wamemaliza mamilioni ya Pesa bila ya kumiliki mradi hata mdogo tu, kuna mmoja alimaliza mil 76 sasa hivi anatafuta kazi hata ya sh laki 5 kwa mwezi.

Back to the point!



Kwanini iwe awamu ya Tano wapinzani wapigwe risasi na wengine kutoweka?

Halafu baada ya kukemewa na Taifa kubwa mseme nyie ni nchi huru, kwa hiyo Kama ni nchi huru mna Uhuru wa kuua na kutesa watu hovyo si ndiyo?

Serikali zote nne zilizopita hazijawahi kuwa na uhusiano mbaya na mataifa ya magharibi Kama hii awamu.

Kubambika Kesi wakosoaji wa serikali hakuifanyi Tanzania kutajirika.

Magufuli hana jipya la kuwaeleza watanzania labda wale 80% ya wasindikizaji ktk kundi la intellectuals.
Ni aibu kubwa mno kundi la watu linalosifia kila kitu, utadhani hii awamu ya Tano inaongozwa na Mungu.
Nimekumbuka maneno ya Mwalimu wangu wa Saikoloji .

"A person whose wit is faded prefers being exalted every time, when you try to get him right over any wrongdoing, he'll pick stones and chasten you ".
Sababu ya yote haya ni kushindwa vibaya uchaguzi wa 2015 kwa kuambulia kura mil 3 unusu tu dhidi ya zaidi ya kura mil 10
 
Nikiangalia yanayoendelea juu ya uchumi wa nchi yetu,democrasia ya nchi yetu,uhuru wa kujieleza ndani ya nchi yetu,kasi ya kunyanganya haki ya kuishi ya watanzania ilivyopewa kipaumbele awamu hii , naona aibu kwa degree waliyotoa UDOM kwa JPM unless kama mimi ni mgonjwa otherwise,watu tunajitafutia kudharauliwa wenyewe
 
Nikiangalia yanayoendelea juu ya uchumi wa nchi yetu,democrasia ya nchi yetu,uhuru wa kujieleza ndani nchi yetu kasi ya kunyanganya haki ya kuishi ya watanzania, naona aibu kwa degree waliyotoa UDOM kwa JPM unless kama ni mgonjwa otherwise,watu tunajitafutia kudharauliwa wenyewe
Hembu tuwekee yakwako hapa
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom