heri dikiteta
Magufuli kainyoosha nchi au ndiyo kaipindisha kabisa? Kunyoosha nchi unatoa hiki unaweka hiki. unaanzia toka kwenye conceptual, vision, objectives, mpaka plan of action. kila mtu anaelewa wajibu wake na nini afanye. Ukivuruga mfumo uliopo halafu usijenge mfumo mpya, unaleta vacuum, na tunajua kwamba NATURE ABHORS VACUUM.Hivi rais Magufuli anaipasua nchi au anainyoosha kutokana kuikuta imepinda sana?. Hata chuma kilichopinda kikinyoonywa kinapata moto.
Acha Magufuli ainyooshe Tanzania hadi inyooke, heri dikiteta mzalendo mwenye uchungu na umasikini wa Watanzania kuliko a smiling dhaifu huku nchi ikifanywa ni shamba la bibi!.
P
Kichwa chako kibovu kama cha kuku, soma hiyo ndiyo unijibu. I want sensible answers to that not ngonjela za lumumba. Nitakupima leo!Lini chadema mtafanya uchaguzi wa mwenyekiti wenu na sekratarieti ya saccos yenu?
Kelele tu huku umebana pua eti katiba inavyunjwa na mpo kimya,"nonsense"
Jengeni saccos yenu
Mpaka tuwatoe hao mashetani yanatuharibia nchi kweli.Ccm haitaki kutoka madarakani kwa njia ya amani, tuko kimya!
Bunge live limefutwa na kuanzisha ikulu live na uteuzi live, tuko kimya.
Hao sio hata chembe ya tone Tanzania, wengi wetu tuko kimya na hatuwasaidi wachache wasemao ukweli, bila ya kujali itikadi, chama, dini, kabila au mkoa.Mkuu kwani wako Kimya au wanakalishwa Kimya
1.Azory alikaa kimya?
2.Ben saanane je alikaa kimya?
3.Ngurumo yuko Kimya?
4.Zitto Yuko Kimya?
5.Je Ukimya ndo umemuweka kabendera kizuizini?
6.Fatma Karume yupo Kimya?
7.Maria Sarungi je
Kwakweli hatuko Kimya
Britannica
Kama unashirikiana na mabeberu kuisaliti nchi kwa njia yeyote ile,unatukana viongozi,unapotosha wananchi kwa maslahi ya chama chako au binafsi,kwa nini usishuhulikiwe?Maslahi ya taifa,busara na hekima lazima vipewe kipaumbele.Mambo yapo uvunguni, kachungulie uyaone. Ila wenzio waliochungulia wanapigwa BITI kama sio kupotezwa
Mitanzania mingi mijinga acha ibanwe hadi sote tuwe na akili sawa.
Mtu anakuja kwenu hamna maji anasifia kununua ndege na fly over na sgr wakati wengi wenu hamtafika Dar
Penye moshi kuna moto, sasa ni dhahiri kabisa kuwa Magufuli hana mpango wa kuachia madaraka hata baada ya muda wake kuisha.
Mtu ambaye hata kipindi chake kimoja cha Urais hakijaisha tayari anatamani tena aendelee kuwa Rais huku akijiona yeye ni bora kuliko wenzake.
Kipindi kimoja tu cha Urais wake nchi ipo hoi kiuchumi huku kundi la mambumbumbu la UVCCM likishangilia Kila janga, hiyo si ajabu sana kwa sababu hata Hitler naye alikuwa na kundi la majuha lililokuwa linamshangilia.
Tunaojitambua tusikubali Magufuli aivuruge Hii nchi.
Amefanikiwa kuliweka bunge mfukoni na mahakama pia.
Hizo ni elements za udikteta, tukimwachia Magufuli afanye apendavyo hii Tanzania itakuwa Kama Burundi au Congo, ataiharibu sifa ya Tanzania kimataifa.
Amejitahidi sana kuzima nguvu za upinzani kwa uwezo wake wote.
Tusimame wote tumwambie Magufuli aheshimu katiba ya nchi
Labda nikuulize teuzi zunafanyika kila siku?liveSasa mbona hata hizo teuzi live na ikulu live zinafanyika muda na siku za kazi! Kwa hiyo na hao wanaofuatilia mubashara kupitia vituo vya luninga hawana kazi za kufanya!
Wewe ni sehemu ya waliokuwa wanufaika wa ufisadi.Kinacho
wauma ni jinsi wafadhili
wenu walivyotumia mapesa kuhakikisha mnaingia ikulu lakini mkashindwa.Na wengi mlizoea kuishi Dar kwa kutumia vimemo,sasa magufulization imewaumbua.Ndicho kinachowatesa,poleni sana.
Labda nikuulize teuzi zunafanyika kila siku?live
Which action? Maneno tu? Onyesha vitenda. Mange si alijaribu wewe unashindwa nini?Katiba inavunjwa... Tupo kimya!
Bunge halina tena makali... Tupo kimya!
Mahakama inaingiliwa... Tupo kimya!
Viongozi wanatoa kauli zinazokinzana kwenye suala linalofanana... Tupo kimya!
Watu wanauawa... Tupo kimya!
Watu wanatekwa... Tupo kimya!
Magerezani kama sokoni... Tupo kimya!
Watumishi,wafanyabiashara, wakulima, wastaafu, wahitimu na wananchi kwa ujumla wanalia... Wapo kimya!
JE, TUTAAMKA LINI??? TUTOKE NYUMA YA keyboard! MAKELELE MITANDAONI HAYATASAIDIA!
LET'S NOW WAKE UP AND TAKE ACTION!
Jinga kweli wewe, Tunamwombea Sana ili awahi kuondoka akaongoze malaikaMagufuli's efforts, heartfelt patriotism and economic maneuvers he is demonstrating for Tanzania, which we daily witness, are perfect and nice parables of the day to illustrate not only the precious future of Tanzania but the very near future of true hope for Tanzanians.
Of course he is the best leader of our time and perhaps of all time to have ever lived and ruled Tanzania.
Tumuombee!
Kwa hiyo CAG ni muongo?Mkuu yaani wewe huoni baadhi ya watendaji wake wanaendelea kumwangusha nyakati fulani? Wanaiba pesa, na hii ni kwa kuwa haongozi peke yake. Waliiba hizo trillioni unazozisema ambapo sina uhakika hata kama una ushahidi nazo kuwa zillibwa.
Nimesema mimi au yeye ndo alisema kwa kinywa chake?Nimekuelewa sana, naomba nikueleze tu kwamba usitake kupotosha umma kwa kupindisha kidogo tu, Mh Rais hakumaanisha unachojaribu kuwaaminisha watanzania, Rais hana mpango na kuendelea kuongoza kama unavyojaribu kucheza na hisia za watu, elimu uloipata usiitumie vibaya, subir miaka 10 ipite ndo uongee upuuzi huo.
Acha usenge wwHivi rais Magufuli anaipasua nchi au anainyoosha?. Hii ni kufuatia kukabidhiwa nchi aliyoikuta imepinda sana hadi kupindukia, ameikuta nchi imeoza na kunuka uvundo mzito wa rushwa na ufisadi huku ikifanywa ni shamba la bibi. Kazi ya kwanza ya Magufuli ilikuwa ni safisha safisha kwa utumbuaji majipu na kuinyoosha nchi. Hata chuma kilichopinda kikinyoonywa kinapata moto.
Acha Magufuli ainyooshe Tanzania hadi inyooke, heri dikiteta mzalendo mwenye uchungu na umasikini wa Watanzania kuliko a smiling dhaifu huku nchi ikifanywa ni shamba la bibi!.
P
Thanks. Ubarikiwe sana.Acha usenge ww