Ndiyo maana akauliza wewe usiye mzungusha mikono na unayeelewa vision ya nchi yetu kwa sasa msaidie/mueleze naye aelewe.mbona vijana wa ccm mnakuwa wajinga kiasi hiki?Kwa mzungusha mikono kama wewe huwezi jua muelekeo wa nchi...subiri 2020 uwazungushie tena mikono
Hiyo nia nzuri unaipimaje? Kitu gani kafanya mpaka umuone anania nzuri? Kuongea tu? Ni kiingozi gani wa Tanzania umewahi kuongea mabaya dhidi ya Tz? Tunapokosea wadanganyika ni pale tunapoamini kuwa watu wale wale,wa chama kile kile,Sera zile zile na mfumo ile ule wa utawala kwamba unaweza kufanya kitu cha tofauti ati maji na,MTU,kabila na dini yake imebadirika.I can assure you.mtasubiri sanaBinafsi nadhani ana nia nzuri.
Lakini sidhani anajua anakoelekea.....
Yupo yupo.
Tatizo wanawatuma vilaza kuja kuchokoza mada ...mwisho wa siku tunawakong'oli kwa hoja na kashfa juu....!Yeyote anayemponda jpm ameguswa kimaslahi kwa namna moja au nyingine,hawa ndo wale serikali walikuwa wanaiendesha kweny ndege leo u.s.a kesho u.k. so mimi sishangai
Hatujui kwamba ataanza kuboresha kwanza umeme ndo afwate viwanda..
Au aanze viwanda kwanza ndo afwate umeme...
hii ndo Bongoland
Pamoja na mipasho na taarabu kama kawaida yenu Lumumba umejitahidi. Nina maswali kadhaa.Magufuli atafanya yaliyoko kwenye ilani na atapimwa kwa ilani ya CCM iliyopendwa na wapiga kura wengi....waliokosa muelekeo ni wale walioahidi kwenda kuchunga ng'ombe mara wakaahidi kwenda ICC na mara waahidi kuzunguka nchi na blah blah kibao.
Wakati wa Uchaguzi tuliwaonya sana muache kuwa Nyumbu na wazungusha mikono na badala yake msikilize sera na kupima kama zinatekelezeka....
Kama mngesikiliza Ilani ya CCM kama ilivyonadiwa na Magufuli usingekuja kuuliza pumba hizi unazouliza leo hii...
Magufuli aliahidi kupambana na Rushwa(Ni mgombea pekee aliyeongelea rushwa kwa hisia na kweli)....Mwezi wa Saba Mahakama ya Mafisadi inaanza kazi
Magufuli aliahidi kushughulikia Tatizo la mikopo elimu ya juu....Wanafunzi wamepata mikopo,bodi imefumuliwa na mikopo imeanza kurejeshwa.
Magufuli aliahidi elimu bure...Imeshaanza pamoja na changamoto zake.
Magufuli aliahidi kukusanya kodi na kuondoa viushuru vya ajabu ajabu...Salamu za bandari za nchi kavu umezisikia na kama unafuatilia kuna viushuru vya kwenye kahawa vimeanza kuondolewa.
Magufuli aliahidi kupunguza msongamano Dar....Mabasi ya mwendo kasi yameanza ns hapa majuzi kitwanga anaongelea kuhusu flyover kuanza kujengwa...
Magufuli aliahidi kurejesha nidhamu kwa watumishi wasio waadilifu....unataka niongee??
Magufuli aliahidi kuwanyang'anya mashamba wale wasioendeleza ....unataka kuniambia hujamsikia lukuvi??
Hivi hujasikia kiwanda cha tiles kilichoanza kujengwa Mkuranga ?hivi hujamsikia rais akiwaasa NSSF PPF kujenga viwanda badala ya maghorofa yasio na tija??
Pale Muhimbili CT SCAN ilikuwa ni kipimo adimu sana kukipata nadhani unaweza kuona nini kinaendelea Baada ya Rais kuzuru Muhimbili consistently (Changamoto ya dawa na vifaa tiba kuwepo kwenye vituo pamoja na ujenzi wa zahanati)
Kuhusu kuulinda muungano...Rais ametuvusha salama salmini bila tone la damu kumwagika kule Zanzibar pamoja na hila zenu zilizokosa uzalendo na za kuwategemea mabwana wa kizungu.
Ndio maana narudia tena kuwaita Nyumbu au pengine ni fisi mnaofuata mzoga ulipo maana hamjielewi mshike kipi.....
Matatizo yenu ya kupokea makapi na mizoga muyamalize huko huko msituletee shombo sisi wastaarabu!!!
MABADILIKOOOOO
Kuna thread humu inaelezea ahadi za Magufuli nenda kaisome....
Halafu kuna Ilani ya CCM nenda kaisome pia.
Halafu rudi hapa uje kutuuliza ambacho hujakielewa....
HAYA ZUNGUSHAA ZUNGUSHAAA TENAA ZUNGUSHA MIKONOOO....MABADILIKOOOO!!!
Muda mwingine unaweza kuonyesha uwerevu lakini kupitia uwerevu wako ujinga wako pia ukaonekana, hivi Dkt Magufuli tangu aingie madarakani alikua anaenda na bajeti aliyoiandaa au aloandaa Kikwete? Tabia za namna hii haitusaidii sisi kama watanzania, hata kama aumpendi jitahidi kupima kwa haki, nafikiri unafuatilia bunge la bajeti na kilichomo unakiona hapo ndo tuanzie, nchi haiendeshwi wewe unavyotaka bali Rais anavyoona inafaa muda wa kupima anafanikiwa au la bado aujafika kupitia bajeti hii tutaweza kupima ni kwa kiasi gani Rais anafanikiwa lakini hii tabia ya kumkatisha tamaa Rais haifai ni tabia za watu wenye husuda na zaidi wamejaliwa wanawake kuwa nazo nchi ikiyumba sio yeye Rais atakayeteseka bali ni sisi wananchi, ni jukumu letu kukosoa pale palikosewa na kuonyesha njia sahihi ya kupita lakini kukosoa tu bila kuonyesha nini kilitakiwa kifanyike hiyo ni tabia ya kike
Chadema is our reference point as ccm as well as a nation.great!Ofisi ipi hiyo ya umma unayoisema ?by the way
Ofisi za Chadema mikoani zina karatasi?
Ukiangalia hapa jukwaani wewe ni mmoja wa waanzisha post nyingi ikiwemo na kuchangia post. Ila kwa sehemu kubwa ya michango yako unachangia kipuuzi, kishabiki na kejeli. Sioni shida kwani ndio demokrasia, tatizo langu ni kwamba wewe umewekwa na chama chako kukitetea hapa mitandaoni. Nilitaraji kwenye sehemu kama hizi ndio ungekuwa unamwaga nondo na kutolea ufafanuzi mambo mengi ikiwemo na upotoshaji wowote. Unaposhauri watu wakasome ilani na ahadi kuna tofauti gani na kile unachoponda kila mara kwamba EL aliwaambia wananchi wakasome ilani ya ukawa kwenye mitandao!!?
Ni kwanini unakimbilia kwenye kejeli na upuuzi, kirahisi ni kwamba mengi ya hayo yaliyoahidiwa yameahidiwa tu kwa mazoea kwani huwezi kuingia kwenye kampeni bila ahadi wala ilani. Nchi hii haijawahi kuwa na tatizo kwenye upande wa maandishi wala mipango, ila tatizo la nchi liko kwenye utekelezaji, hivyo hapa ndio ulipaswa kuchanganua kwamba tunafikaje huko kwani katika budget inayoendelea kusomwa haiakisi hilo. Sasa watu wanataka ufafanuzi isije ikawa ni kauli mbiu kama nyingine zilizowahi kutolewa na mpaka leo hata wale waliozitoa wanashangaa watu wameendeleaje kuwa wavumilivu kwa kile kilichotokea.
Umenivunja mbavu! ungemaliza kwa kutushauri mi na mwenzangu kwamba kupotea njia ndo kujua njia.Inaelekea mleta uzi alikwishapotea kitambo. Hajui mbele wala nyuma;kushoto wala kulia, mwelekeo sahihi ni upi. Sasa amesikia sauti ya JPM inamuelekeza amfuate. Kwa kuwa alikwishapotea haamini iwapo huko anakoelekezwa aelekee ni dira sahihi. Ninamshauri amfuate JPM. Kwa kuwa awali alipotea peke yake, sasa akipotea atakuwa na company ya JPM. Ondoa na shaka.
Safiiii jibu lako zuri 2020 tunazungusha mikono Zaid kudaaadeki hakuna tunapoelekea tunazidi kutaabikaKwa mzungusha mikono kama wewe huwezi jua muelekeo wa nchi...subiri 2020 uwazungushie tena mikono
Hii nji ni ya wote hata ww hujui ulipo wala unapoelekea unaishi kwa matumaini....................Wewe nyumbu unataka ujue taifa linakoenda ili iweje.
Kazi yako ni kudeki barabara ili fisadi apite