Terrible Teen
JF-Expert Member
- May 1, 2017
- 920
- 2,635
ndio maana hapa nilipo mi napiga mkuu, asubuhi hii penyewe nishaingiza milioni nne kwa ujanja ujanjaUzalendo siyo kupingana namafisadi tu Bali hata kuipenda nchi, watu wake na maisha yao kwa ujumla ni uzalendo. Sasa tujiulize kama mtu kaingia madarakani kafuta Ajira na kuwaacha vijana wakielea mtaani bila Ajira huku yeye na watu wake wakila MDMA ya nchi huo ndio uzalendo kweli?
Mimi naona kila mtu ale kulingana na urefu Wa mamba yake ukipata upenyo pigs tu wala usijali hakuna mzalendo Tanzania