CharmingLady
JF-Expert Member
- Apr 16, 2012
- 18,250
- 12,868
Sidhani kama kuna direct connection kati ya kuchoma vitumbua na kunenepa!
Aidha kuchoma vitumbua ni kazi ya kivivu thus why vibonge wengi wanaiweza!
Cc: Dinazarde! Teh teh teh!
Hahaaaaa.... Ya kivivu kwani kuandaa mchele na kuuosha ni uvivu?